A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Sunday, April 25, 2021

Uongozi wa juu wa Benki ya DCB washuhudia mheshimiwa Rais Samia akihutubia bunge kwa mara ya kwanza mjini Dodoma wiki hii

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (mstari wa mbele, katikati) akiwa na baadhi ya wakuu wa taasisi za fedha wakisikiliza hotuba ya Mheshiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan wakati ajikihutubia bunge kwa mara ya kwanza mjini Dodoma wiki hii. Viongozi hao walialikwa na Spika wa Bunge, Mhe.Job Ndugai.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Mama Samia Suluhu hassan (katikati) akipiga picha ya kumbukumbu na viongozi wa taasisi za fedha ambapo Benki ya DCB iliwakilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wake, Godfrey Ndalahwa pamoja na Mwenyekiti wa Bodi, Maharage Chande mara baada ya kulihutubia bunge kwa mara ya kwanza mjini Dodoma wiki hii.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive