A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Tuesday, December 11, 2018

Benki ya Biashara ya DCB Yang’ara Tuzo za NBAA

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (wa tatu kushoto) akikabidhi tuzo ya ushindi wa pili katika kitengo cha benki ndogo na za kati katika tuzo za Mwasilishi Bora wa Hesabu za Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi  wa Mahesabu (NBAA) kwa mwaka 2017 kwa Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Biashara ya DCB, Zacharia Kapama, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya NBAA, Prof. Isaya Jairo.
Mkurugebzi wa Fedha wa DCB, Zacharia Kapamba (katikati) akionyesha tuzo ambayo benki hiyo imeshinda, muda mfupi baada ya kukabidhiwa na naibu waziri wa fedha. Pamoja naye ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo. 
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Biashara ya DCB, Zacharia Kapama (kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti Utendaji cha DCB, Siriaki Kiriki, wakionyesha tuzo ambayo benki hiyo imeshinda katika kitengo cha benki ndogo ngodo na za kati katika tuzo za  Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA)
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive