A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Wednesday, September 25, 2019

Benki ya NBC yasaini makubaliano na Jeshi la Polisi ya ulinzi katika matawi yake nchini

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Liberat Sabas (wa pili kushoto) na Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya NBC, Waziri Barnabas wakibalishana hati za makubaliano ya ulinzi wa askari wa jeshi hilo katika matawi yote NBC nchini. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam Jana. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni, Mkuu wa Kitengo cha Sheria, Kamishna Mwandamizi wa Polisi, Gustavus Babile, Mkuu wa kitengo cha Sheria wa NBC, Doxa Mbapila na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa NBC, Alelio Lowassa.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Liberat Sabas (kushoto) na Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya NBC, Waziri Barnabas wakisaini hati za makubaliano ya ulinzi wa askari wa jeshi hilo katika matawi yote ya NBC nchini. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam Jana. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni, Mkuu wa Kitengo cha Sheria, Kamishna Mwandamizi wa Polisi, Gustavus Babile, Mkuu wa kitengo cha Sheria wa NBC, Doxa Mbapila na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa NBC, Alelio Lowassa.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive