A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Thursday, February 28, 2019

WAZIRI JAFO AIPONGEZA DCB KWA KUJIENDESHA KWA FAIDA

Waziri wa  Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (wa pili kulia), akizungumza na waandishi wa habari wakati alipotembelea tawi la Benki ya Biashara ya DCB jijini Dodoma leo. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa,  Mkurugenzi Mtendaji, Godfrey Ndalahwa na Meneja wa DCB Dodoma, Joseph Njile.  
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (katikati),akizungumza na waandishi wa habari wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemeni Jafo (wa pili kilia), akitembelea tawi la benki hiyo mjini Dodoma leo. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa na Meneja wa DCB Dodoma, Joseph Njile.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi (katikati), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kushoto), wakati akitembelea tawi la benki hiyo mjini Dodoma leo. Kulia ni Mhasibu wa tawi hilo, Daniel Makyao.
Waziri wa  Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (katikati waliokaa), akipiga picha na uongozi wa DCB pamoja na baadhi ya wateja waliokuwepo tawini hapo wakati wa ziara yake mjini Dodoma leo.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive