A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Wednesday, October 11, 2017

Tanga Cement yaunga mkono serikali ujenzi wa nyumba za polisi zilizoungua mkoani Arusha



Meneja Usambazaji wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Samuel Shoo, akikabidhi msaada sehemu ya mifuko 1000 ya saruji yenye thamani ya ya shs milioni 12,500,000  kwa Naibu Kamishna wa polisi (DCP)  wa Mkoa wa Arusha  Charles Mkumbo (kushoto), iliyotolewa kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa majengo ya nyumba za polisi zilizoungua moto hivi karibuni. Hafla ya makabidhiano ilifanyika katika eneo la Kituo Kikubwa cha Polisi Arusha jana. Wengine pichani ni maofisa wa kampuni ya Saruji na kutoka katika majeshi ya ulinzi na usalama.
02: Mkuu wa Idara ya Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Peet  Brits, akikabidhi msaada sehemu ya mifuko 1000 ya saruji yenye thamani ya ya shs milioni 12,500,000  kwa Naibu Kamishna wa polisi (DCP)  wa Mko wa Arusha  Charles Mkumbo (wa pili kushoto), iliyotolewa kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa majengo ya nyumba za polisi zilizoungua moto hivi karibuni mkoani  humo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika katika eneo la Kituo kikubwa cha Polisi Arusha jana. Wengine pichani ni maofisa wa Saruji Tanga na kutoka katika majeshi ya ulinzi na usalama
 Mkuu Mauzo Kitaifa wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Leslie Masawe, akikabidhi msaada sehemu ya mifuko 1000 ya saruji yenye thamani ya ya shs milioni 12,500,000  kwa Naibu Kamishna wa polisi (DCP)  wa Mko wa Arusha  Charles Mkumbo, iliyotolewa kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa majengo ya nyumba za polisi zilizoungua moto  tarehe 27septemba Mkoani  humo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika katika eneo la Kituo Kikubwa cha Polisi Arusha jana. Wengine pichani ni maofisa wa Saruji Tanga na kutoka katika majeshi ya ulinzi na usalama
Meneja Masoko Mkoa wa Arusha  wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Christopher Mgonja, akikabidhi msaada sehemu ya mifuko 1000 ya saruji yenye thamani ya ya shs milioni 12,500,000  kwa Naibu Kamishna wa polisi (DCP)  wa Mko wa Arusha  Charles Mkumbo (kushoto), iliyotolewa kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa majengo ya nyumba za polisi zilizoungua moto  tarehe 27septemba Mkoani  humo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika katika eneo la Kituo Kikubwa cha Polisi Arusha jana. Wengine pichani ni maofisa wa Saruji Tanga na kutoka katika majeshi ya ulinzi na usalama
Ofisa Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Hellen Maleko   wa pili (kulia) akikabidhi msaada sehemu ya mifuko 1000 ya saruji yenye thamani ya ya shs milioni 12,500,000  kwa Naibu Kamishna wa polisi (DCP)  wa Mko wa Arusha  Charles Mkumbo, iliyotolewa kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa majengo ya nyumba za polisi zilizoungua moto  tarehe 27septemba Mkoani  humo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika katika eneo la Kituo Kikubwa cha Polisi Arusha jana. Wengine pichani ni maofisa wa Saruji Tanga na kutoka katika majeshi ya ulinzi na usalama
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive