A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Thursday, July 27, 2017

BRAZUKA KIBENKI: MAOFISA WA BENKI KUONESHA UMAHILI WAO VIWANJANI

Beki wa timu ya soka  ya Benki y NMB Hezbon Mpate (kushoto), akiwnia mpira na mshambuliaji wa timu ya Benki ya DTB Martin Komba wakati wa mchezo wa uzinduzi wa mashindano  ya ligi ya mabenki iiyopewa jina la Brazuka kibenki  itakayo shirikisha timu15 kutoka Benki mbalimbali. mchezo huo wa uzinduzi ulifanyika katika viwanja vya Gymkhana Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. DTB iliibamiza timu ya NMB kwa mabao 4-0.
Mshambuliaji wa timu ya Benki ya DTB Martin Komba  (kulia), akiwatoka ma beki wa timu ya NMB wakati wa mchezo wa uzinduzi wa mashindano  ya ligi ya mabenki iyopewa jina la Brazuka kibenki itakayo shirikisha timu15 kutoka Benki mbalimbali. mchezo huo wa uzinduzi ulifanyika katika viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. DTB iliibamiza timu ya NMB kwa mabao 4-0. 











Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive