A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Thursday, June 19, 2025

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAANDAA JUKWAA LA WATEJA MKOANI MBEYA ZAIDI YA WATEJA 150 WASHIRIKI.

   Tanzania – 18 Juni 2025 – Akiba Commercial Bank Plc (ACB) iliandaa mkutano Maalum wa Wateja jijini Mbeya lililowakutanisha zaidi ya wateja 150 kutoka sekta mbalimbali, kwa lengo la kuimarisha mahusiano na kuwataarifu wateja kuhusu maendeleo ya Benki pamoja na fursa mbali mbali za kuwainua wateja kiuchumi.

Jukwaa hili lililenga kutoa taarifa kuhusu maendeleo ya hivi karibuni ya benki, hususan katika huduma za kidijitali na maboresho ya uzoefu wa wateja. Aidha, lilitumika kama jukwaa la kutoa elimu ya kifedha kwa wateja ili kuwasaidia kufanya maamuzi sahihi ya kifedha. Wateja walishiriki kikamilifu kwa kutoa maoni, mrejesho na mapendekezo kuhusu huduma za benki.


Benki ilitumia fursa hiyo kusikiliza, kujifunza na pia kutoa shukrani kwa wateja wake kwa uaminifu na ushirikiano wao wa muda mrefu. Akizungumza katika tukio hilo, Bi. Wezi Mwazani, Afisa Mkuu wa Biashara wa Benki ya Akiba, alitoa pongezi kwa mwitikio mkubwa na kusema: "Mwonekano wa ushiriki huu mkubwa unatupa faraja kuwa wateja wetu wanatuamini na wamechagua Akiba kama Benki yao pendwa. Hatuchukulii jambo hili kuwa la kawaida, na tunaendelea kujitolea kuwahudumia kwa ubora siku zote.


" Bw. Ntupa, Kiongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Soko la Mbeya, alipongeza juhudi za Benki kwa kuandaa jukwaa lenye maana kubwa, hasa kwa kuweka kipaumbele kwenye elimu ya kifedha. "Majukwaa kama haya ni muhimu kwa maendeleo ya biashara, yanatoa maarifa kwa wateja wetu na kuimarisha uhusiano wa kuaminiana kati ya benki na jamii ya wafanyabiashara," alisema Bw. Mtupa. Akihitimisha tukio hilo,
Afisa Biashara Mkuu wa Akiba Commercial Bank Plc Bi. Wezi Mwazani akifungua mkutano wa wateja ulioandaliwa na benki hiyo mkoani mbeya.

Bw. Humphrey Nyandidi, Meneja wa Tawi la Mbeya, alishukuru wateja kwa ushirikiano wao na kuahidi kuendelea kuwahudumia kwa bidii na kujituma. "Tunathamini sana uaminifu wenu, na tunaahidi kuendelea kuwahudumia kwa ari na moyo wa dhati ili kutimiza matarajio yenu na hata kuvuka kiwango hicho," alisema. Jukwaa hili la wateja ni sehemu ya mkakati mpana wa Benki ya Akiba wa kuimarisha mahusiano na wateja wake kupitia majukwaa ya majadiliano na mirejesho kutoka kwa wateja. Benki inaendelea kujikita katika kutoa huduma shirikishi za kifedha pamoja na elimu ya fedha.

Share:

Friday, June 13, 2025

AKIBA COMMERCIAL PLC YASHIRIKIANA NA TIA KUPANDA MITI 1,500 KATIKA KAMPENI YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Dar es Salaam, 13 Juni 2025: Akiba Commercial Plc imeonyesha dhamira yake endelevu ya kutunza mazingira kupitia zoezi la kupanda miti kwa ushirikiano na Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika kampasi ya Kurasini, Dar es Salaam. Miti 1,500 imepandwa kama sehemu ya mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) unaolenga kukuza utunzaji wa mazingira na kuimarisha ustawi wa jamii. Zoezi hilo liliongoza na Afisa Biashara Mkuu wa Benki hiyo Bi. Wezi Mwazani (Picha ya kwanza) kwa kushirikiana na wafanya kazi wengine pamoja na wanafunzi wa TIA.

Akizungumza kwa niaba ya benki katika tukio hilo, Bwana Emmanuel Mseti, Meneja Mwandamizi wa Kitengo cha Wateja Binafsi, alitoa shukrani za dhati kwa uongozi, wafanyakazi na wanafunzi wa TIA kwa mapokezi na ushirikiano mzuri uliowezesha mafanikio ya shughuli hiyo ya kimazingira. Alibainisha kuwa zoezi hili si ishara tu bali ni kitendo kinachoonyesha imani ya Benki kwamba kulinda mazingira ni jukumu la pamoja.
Shughuli hii ni mfano halisi wa imani yetu kuwa kulinda mazingira ni jukumu la kila mmoja wetu. Jukumu letu halikomi tu kwenye kupanda miti peke yake bali, tunaendelea kuhimiza huduma rafiki kwa mazingira kupitia huduma zetu za kidijitali kama ACB Mobile, Internet Banking na Akiba Wakala, ambazo si tu huongeza urahisi na ufanisi, bali pia hupunguza matumizi ya karatasi na kuunga mkono utunzaji wa mazingira,” alisema Bwana Mseti.
Benki pia ilibainisha juhudi zake nyingine za utunzaji wa mazingira ikiwemo jukumu endelevu la kutunza na kuboresha Viunga vya Independence Square jijini Dodoma. Katika tukio hilo, Bwana Mseti aliwahimiza wanafunzi wa TIA kuchukua jukumu la kulinda miti iliyopandwa na kuhakikisha inakua vizuri kwa faida ya vizazi vijavyo.

Pia aliwahakikishia kuwa Benki itaendelea kushirikiana na TIA katika kampeni za mazingira katika kampasi zake nyingine pindi itakapohitajika.

Kwa mtazamo wa Uwajibikaji kwa Jamii, Akiba Commercial inaamini kuwa kwao kurudisha kwa jamii si chaguo bali ni wajibu.

Kupitia sekta za afya, elimu, uwezeshaji wa kiuchumi, na utunzaji wa mazingira, Benki imejitolea katika maendeleo jumuishi na endelevu yanayonufaisha jamii inayoihudumia.

Ili kupata taarifa zaidi kuhusu ushiriki wetu katika maswala ya kijamii na huduma za kibenki kwa ujumla, tafadhali skani QR yetu hapa chini.
Share:

UWT TANGA YAKUNWA NA UCHAPAKAZI WA MBUNGE UMMY MWALIMU

Na - Mwandishi Wetu, TANGA

Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) imempongeza Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Ummy Mwalimu, kwa uchapakazi na uwajibikaji wake wa kuwaletea wananchi maendeleo na namna anavyoilea Jumuiya hiyo muhimu kwa uhai wa Chama.

Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo wilaya ya Tanga, Bi. Moza Seif, katika Baraza lake la Kikanuni lililokaa Juni 12, 2025 katika Ukumbi wa CCM wilaya ya Tanga ambapo pamoja na mambo mengine, Baraza hilo lilikuwa na ajenda ya kusoma Utekelezaji wa Ilani kwa Madiwani wa Viti Maalum wa Jiji la Tanga.

Bi. Moza amempongeza Mbunge Ummy Mwalimu ambaye amekuwa bega kwa bega na Jumuiya hiyo katika kusukuma gurudumu la maendeleo ndani ya Jiji la Tanga. Katika kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazofanywa na Mbunge huyo, uongozi wa UWT Tanga ulimpatia Mbunge Ummy Mwalimu Zawadi mbalimbali za Pongezi ambazo zilipokelewa na Bi. Mwanahawa Mwalimu kwa niaba ya Mbunge.

Sambamba na hilo, Madiwani wa Viti Maalum wa Jiji la Tanga walisoma Utekelezaji wa Ilani ambapo kazi nyingi na miradi mingi ya maendeleo imefanyika katika kipindi cha uongozi wao. Aidha, wanachama wameaswa kuwa wamoja kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwezi Oktoba, 2025 kwa kuepuka fitna, majungu na makundi.

Katika hatua nyingine, Baraza hilo lilihudhuriwa viongozi mbalimbali wa Chama wakiwemo Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tanga, Meja Mstaafu Hamisi Bakari Mkoba ambaye alikuwa Mgeni Rasmi pamoja na Katibu wa CCM wilaya ya Tanga, Jamal Khimji.
Share:

Thursday, June 12, 2025

Mkurugenzi wa Benki ya DCB, Sabasaba Moshingi aongoza wafanyakazi wa benki hiyo kujitolea damu wakiadhimisha Siku ya Wachangia damu Duniani

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Aga Khan, Bw. Sisawo Konteh (Kulia) akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Bw.Sabasaba Moshingi, wakati yeye na baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo walipofika hospitalini hapo kujitolea damu kuadhimisha Siku ya Wachangiaji Damu Duniani, jijini Dar es Salaam Leo.

BENKI ya Biashara ya DCB imesema itaendelea kufanya jitihada tofauti katika kusaidia afya za watanzania wenye uhitaji wa kupata damu kutokana na kukabiliwa na changamoto mbalimbali imeelezwa jijini Dar es Salaam leo.

Akizungumza katika zoezi la kujitolea damu kama sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani, jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Bw. Sabasaba Moshingi alisema yeye pamoja na baadhi ya wafanyakazi wenzake wameamua kujitolea damu kwani licha ya benki yao kujishughulisha na utoaji wa huduma za kifedha lakini pia wanabeba jukumu la kuhakikisha watu wanaohitaji damu salama mahospitalini wanazipata bila kuwa na haja ya kusubiria ndugu waje kujitolea.

Leo tupo hapa pamoja na washirika wenzetu hospitali ya Aga Khan kwa lengo la kuchangia damu, tutaendelea kushiriki matukio mengine kama haya na mengineyo yenye lengo la kusaidia kuokoa maisha ya watanzania wenzetu wenye uhitaji wa damu na mahitaji mengine ya kibidamu”, alisema Bw. Moshingi.

Akizungumza katika hafla hiyo Mkuu wa Kitengo cha Maabara katika Hosptali ya Aga Khan, Dk. Caroline Ngimba alitoa hamasa kwa watanzania wote nchini kuwa na moyo na utamaduni wa kujitolea damu bila kusubiri siku rasmi za kitaifa ama kimataifa bali liwe ni jambo endelevu kwani uhitaji wa damu upo kila siku mahospitalini.

Uzuri ukichangia damu kama afya inaruhusu kila baada ya miezi mitatu unaweza kuchangia tena, tungeomba tabia hii iwe endelevu kwani hakuna kiwanda cha kutengeneza damu, damu inayopewa mwanadamu inatoka kwa mwanadamu”, alisema Dk. Caroline.

Naye mtaalamu wa utoaji damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Peter Chami alitoa shukurani kwa Benki ya DCB, huku akizitaka taasisi nyingine kuiga mfano wa benki hiyo ili kuokoa maisha ya watanzania wenye shida ya damu kwani mahitaji ya damu ni makubwa sana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Bw.Sabasaba Moshingi, akifanyiwa uchunguzi wa afya yake kabla hajajitolea damu katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam leo, alipongoza baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo kujitolea damu, kuadhimisha Siku ya Wachangiaji Damu Duniani. Picha nyingine zikionesha matukio mbalimbali katika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Mikopo wa Benki ya DCB, Bw. Deogratius Thadei, akijitolea damu katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Wachangiaji Damu Duniani, katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam leo, ambako yeye pamoja na baadhi ya wafanyakazi wenzake walishiriki. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Maabara, Dk. Caroline Ngimba na kulia ni Mtaalamu wa mishipa Kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Bw. Peter Chami.
Baadhi ya wakurugenzi wa Benki ya DCB, waliojitolea damu pamoja na baadhi ya wafanyakazi wengine wa benki hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wachangia damu Duniani katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam, leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya DCB, wakishiriki zoezi la uchangiaji damu Ili kusaidia wenye uhitaji ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wachangia damu Duniani, jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya DCB, wakijitolea damu kusaidia wenye uhitaji ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wachangia damu Duniani, jijini Dar es Salaam leo.
Share:

Wednesday, June 11, 2025

AIRTEL TANZANIA YASHIKA NAFASI YA PILI KWA GAWIO LA BIL. 73.9. KWA SERIKALI

Dar es Salaam: Airtel Tanzania imeibuka nafasi ya pili katika mashirika yaliyotoa gawio kubwa kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka wa fedha 2024/25, na kuwasilisha hundi ya Shilingi bilioni 73.9 kwenye hafla ya siku ya Gawio iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo iliandaliwa Ofisi ya Msajili wa Hazin na kuhudhuriwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Utoaji wa Gawio na Mchango huo sio tu inadhihirisha ufanisi na kukuaji kwa Airtel kibiashra bali unaonyesha jinsi Airtel ilivyojidhatiti kuendelea kuwa mdau muhimu wa maendeleo ya taifa kupitia ushirikiano wa kimkakati baina ya sekta ya umma na sekta binafsi.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan alitoa shukrani kwa mashirika ya sekta binafsi kwa kuchangia kiasi cha trilioni 1.28 kwa mwaka huu. Pia alisisitiza kuwa Serikali inaendelea kuweka mazingira bora ili kuendelea kuchochea uwekezaji na kuongeza kasi ya ukuaji kiuchumi.

Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu hassan ameeleza kuwa siku ya hiyo inadhihirisha muelekeo wa serikali katika uendeshaji wa mashirika ya umma huku akiyataka yaweze kuzalisha na kujiendesha yenyewe.

Nawapongeza wote ambao mmeweza kuchangia. Siku hii inatoa fursa kwa wananchi kuona namna mashirika mbalimbali yanawajibika kwao. Niyatake mashirika na taasisi kuongeza ubunifu kwa lengo la kuongeza ufanisi katika utendaji na kutatua changamoto zinazowakabili,” alisema Dkt Samia.

Pia Mheshimiwa Rais Dkt. Samia alitoa rai kwa mashirika ambayo yanamilikiwa na serikali kwa hisa yahakikishe yanatumia kikamilifu mifumo ya TEHAMA ili kuongeza ufanisi na tija na uwazi katika utendaji.

Tangu mwaka 2019, Airtel Tanzania Plc pamoja na Airtel Money Tanzania Ltd zimechangia jumla ya zaidi ya shilingi bilioni 280 kwa serikali. Kupitia umiliki wa serikali kwa asilimia 49, kampuni hii imebaki kuwa mfano wa namna ushirikiano na sekta binafsi unaweza kuleta manufaa ya muda mrefu.

Akizungumza baada ya makabidhiano hayo, Mwenyekiti wa Bodi ya Airtel Tanzania, Eliudi Sanga, alibainisha kuwa kujituma kwa Airtel kuna mchango mkubwa katika kuchochea mabadiliko ya kiuchumi na kijamii.

Airtel Tanzania inajivunia kuwa mshirika wa kuaminika katika safari ya maendeleo ya taifa. Uwekezaji wetu unaendana na vipaumbele vya kitaifa vya Serikali kwa kupanua miundombinu ya kidijitali kwa kuchangia upatikanaji uliojumuishi na wezeshi wa uchumi wa kidijitali,” alisema Sanga.

Kwa upande wake, Charles Kamoto, Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, alisisitiza juu ya malengo ya kampuni kuwezesha ukuaji jumuishi na uwezeshwaji wa kidijitali.

Mchango wa gawio letu ni kielelezo cha msimamo wetu katika kuchagiza kwenye maendeleo endelevu ya Tanzania. Hii inaakisi namna sera ya serikali inavyoendana na ubunifu wa sekta binafsi katika kuleta maendeleo jumuishi na kuelekea katika uchumi wa kidigitali,” alisema Kamoto.

Kamoto alihitimisha kwa kusema kuwa Airtel inajivunia kuiunga mkono serikali kupitia uwekezaji wake kupitia upanuzi wa mtandao, unafuu wa vifaa vya mawasiliano na majukwaa ya kidijitali nchini Tanzania.
Share:

Tuesday, June 10, 2025

TOP TANZANIAN BRANDS RECEIVE GLOBAL RECOGNITION FOLLOWING CONSUMER SURVEY

Superbrands East Africa CEO, Jawad Jaffer speaking to journalists and guests attending the event.
Superbrands East Africa CEO Jawad Jaffer (R) pictured in Dar es Salaam yesterday presenting to The Guardian Limited deputy general manager Jackson Paulo a Superbrands Award for 2024-2025 won by The Guardian newspaper.

Dar es Salaam, June 9th, 2025: Superbrands, the world’s largest independent arbiter of branding, hosted an intimate yet impactful event on 9th June in Dar es Salaam, celebrating 13 leading Tanzanian brands that have earned the prestigious Superbrands status for 2025. Attended by key members of the press and Directors from the honored brands, the event marked a milestone in Tanzania’s branding landscape.

Each awarded brand underwent a rigorous selection process involving consumer voting by Tanzanians from all over the country. Superbrands recognition is awarded only to those that demonstrate exceptional scores in brand quality, reliability, and distinction. These parameters are used by Superbrands globally.

Superbrands partnered with IPSOS Tanzania for this research, an international research firm they have partnered with in several other regions. Participants for this research were scientifically sampled to ensure a representative mix of age, gender, location, and socio-economic status, with a specific focus on the urban population. Just over 1100 brands across 67 distinct categories were shortlisted.

IPSOS Regional Director of Behavior Change and Growth - PA, the company that conducted the research, Doreen Bangapi, she said the goal of recognizing these institutions is to increase the efficiency of fulfilling their responsibilities and to have their value recognized in the country.

Today we are here to name the top 10 Institutions that have been granted Super Brand status due to their performance during the year 2024-25,” said Doreen.

The following Tanzanian brands Abood Bus, ASAS, Azam, GSM, Kilimanjaro Water, NIC, Petrogroup, Red Gold, Super Doll, Tanfoam Tanzania, The Guardian, ITV and Whitedent have been awarded Superbrands Status for the year 2024 to 2025.

"What's different this year is that Tanzanian Premier League football clubs were included in the process, with Simba Club taking first place among football teams in Tanzania and second among all institutions, while Yanga team took second place among football clubs and third among all institutions in the country, with Colgate taking first place." Said Doreen.

Earlier, Superbrand East Africa CEO, Jawad Jaffer, said that for the Institute to have a chance to be included and become a Superbrand, it is necessary to ensure that it meets the criteria of quality, reliable and differentiated products above all.

"If you can ensure that your product has sustainable quality, is appreciated by consumers and is distinctive in the market, we as Superbrand will certainly invite you to participate in the process of becoming a Superbrand in the country and even worldwide," said Jawad.

The survey is conducted annually by various institutions in the country with the aim of encouraging effective work to bring about positive results, by interviewing users of the companies' products at the family and individual levels, where online users are also involved in finding winners.

As more brands are identified to have scored exceptionally well in the consumer research, Superbrands will be continuing to recognize more top Tanzanian brands as the strongest in the region.

Superbrands East Africa CEO, Jawad Jaffer handling over Superbrands Awards to some institutions who won and attending the event.

For more information please contact:

Abdi Juma
Superbrands East Africa

Who is Superbrands?

Superbrands is the world's largest independent arbiter of branding, and has been in operation since 1994 globally, and has been present in East Africa since 2007. It is headquartered in London, UK.

Superbrands currently identifies and pays tribute to exceptional brands in 90 countries globally, through it’s publications and granting use of the “Superbrands Status” to qualifying brands.

The Superbrands Seal and Status are recognized as a symbol of quality, reliability, distinction and excellence.

Who is IPSOS?

IPSOS is a multinational market research and consulting firm headquartered in Paris, France. They are considered a global leader in their field, working with both nationals and multinational brands to provide precise and insightful research.


Share:

Benki ya Absa Tanzania Yathibitisha Uwazi na Dhamira ya Ukuaji Katika Mkutano na Gavana wa BoT

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Tutuba (katikati), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (wa tatu kutoka kushoto), wakati wa ziara yao katika ofisi ya gavana jijini Dar es Salaam jana. Ujumbe huo ulifanya mazungumzo ya kina na gavana, ukimpa taarifa kuhusu masuala muhimu yakiwemo utendaji wa kifedha wa benki hiyo, sera za faragha na ulinzi wa taarifa, mipango ya ukuaji na upanuzi, maendeleo ya udhibiti, na maeneo mengine muhimu ya kipaumbele kama Utawala wa Mazingira, Jamii na Uongozi (ESG) pamoja na huduma za kijamii, ikionesha dhamira thabiti ya taasisi hiyo ya kifedha kwa uwazi, ulinganifu wa udhibiti na ukuaji endelevu. Kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria na Udhibiti wa Benki ya Absa, Bw. Alistides Kashasira na Afisa Mkuu wa Uendeshaji, Bw. Oscar Mwamfwagasi. Kulia ni baadhi ya maafisa kutoka Benki Kuu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (wa tatu kutoka kushoto), akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Tutuba (kulia), wakimtembelea gavana ofisi kwake, jijini Dar es Salaam jana. Ujumbe huo ulifanya mazungumzo ya kina na gavana, ukimjulisha kuhusu masuala muhimu yakiwemo utendaji wa kifedha wa benki hiyo, sera za faragha na ulinzi wa taarifa, mipango ya ukuaji na upanuzi, maendeleo ya udhibiti, na maeneo mengine muhimu ya kipaumbele kama Utawala wa Mazingira, Jamii na Uongozi (ESG) pamoja na huduma za kijamii, yakionesha dhamira ya benki hiyo katika uwazi, kuzingatia kanuni na ukuaji endelevu. Kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria na Udhibiti wa Absa, Bw. Alistides Kashasira na Afisa Mkuu wa Uendeshaji, Bw. Oscar Mwamfwagasi.
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Tutuba (kulia), akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (kushoto), pamoja na ujumbe wake, mara baada ya kikao kilichofanyika katika ofisi ya gavana jijini Dar es Salaam jana. Ujumbe huo ulifanya mazungumzo ya kina na gavana, ukimpa taarifa juu ya masuala muhimu yakiwemo utendaji wa kifedha wa benki, sera za faragha na ulinzi wa taarifa, mipango ya ukuaji na upanuzi, maendeleo ya udhibiti, pamoja na maeneo mengine muhimu kama Utawala wa Mazingira, Jamii na Uongozi (ESG) na huduma za kijamii, yakionesha dhamira thabiti ya benki hiyo kwa uwazi, ulinganifu wa udhibiti na maendeleo endelevu.
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Tutuba (wa nne kutoka kushoto), na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (wa tatu kutoka kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa waandamizi kutoka Benki ya Absa na Benki Kuu jijini Dar es Salaam jana, wakati wa ziara ya ujumbe wa Absa katika ofisi ya gavana. Kupitia mazungumzo ya wazi na ushirikiano na benki kuu, Benki ya Absa inaendelea kulinganisha malengo yake na vipaumbele vya kitaifa na kuchangia kikamilifu katika mustakabali wa kifedha wa nchi.
Share:

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LATEKELEZA MABADILIKO MAKUBWA, LATOA GAWIO LA TZS BILIONI 5.5 KWA SERIKALI

Dar es Salaam, Juni 10, 2025: Katika hafla ya kihistoria iliyofanyika leo katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam, Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limepata heshima ya kutajwa miongoni mwa taasisi tatu bora zilizofanya maboresho ya haraka na ya kuigwa katika utoaji wa gawio kwa Serikali. Hii ni baada ya Shirika hilo kuongeza gawio lake kutoka Shilingi Bilioni 1 mwaka uliopita hadi kufikia Shilingi Bilioni 5.5 kwa mwaka huu wa fedha.

Akizungumza katika hafla hiyo, Msajili wa Hazina, Ndg. Nehemia Kyando Mchechu, alilitaja Shirika la Nyumba la Taifa kama mfano bora wa taasisi zilizopokea kwa vitendo maelekezo ya Mheshimiwa Rais ya kuongeza tija, ufanisi na uzalishaji wa mapato kwa taasisi za umma.

Kundi la tatu ni la mashirika yaliyoongeza mchango wake kwa kasi zaidi… la kwanza katika kundi hili ni Shirika la Nyumba la Taifa, ambao wametoka katika kiwango cha shilingi bilioni 1 hadi bilioni 5.5. Wameonesha mabadiliko makubwa na ya kuigwa,” alisema Mchechu.

Tuzo ya mfano wa hundi ya gawio hilo ilikabidhiwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na kuwasilishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Dkt. Sophia Kongela, pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Ndg. Hamad Abdallah.

Shirika la Nyumba la Taifa limekuwa mstari wa mbele katika kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa ufanisi mkubwa, likijikita katika ujenzi wa miradi ya kimkakati inayochochea uchumi wa taifa, kuongeza ajira, na kuhakikisha Watanzania wanapata makazi bora na ya bei nafuu.

Hafla hiyo ya upokeaji wa gawio na michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma, ambayo mwaka huu yalifikia takriban 256, imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, wakiwemo Mawaziri, Wakuu wa Taasisi, Wenyeviti wa Bodi pamoja na Wakurugenzi Wakuu.

Katika salamu zake, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliwapongeza viongozi na taasisi zote zilizowasilisha gawio, akisisitiza kuwa fedha hizo zitachangia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na huduma za kijamii kwa wananchi.

NHC inaendelea kuonesha dhamira ya dhati ya kujitegemea kifedha huku ikitekeleza majukumu yake kwa weledi, uwazi na ufanisi. Mabadiliko haya makubwa ni ishara ya uongozi makini, mipango madhubuti, na matumizi bora ya rasilimali za umma kwa manufaa ya taifa.
Share:

Sunday, May 25, 2025

Akiba Commercial Bank Yakutana na Wateja wa Mwanza: Zaidi yaWateja 250 Wahudhuria Mkutano wa Mahusiano

Mkurugenzi Mtendaji wa Akiba Commercial Bank Plc, Bw. Silvest Arumasi (katikati), akizungumza na wateja wa Benki hiyo mkoa wa Mwanza wakati wa hafla ya kukuza na kuimarisha mahusiano na wateja hao pamoja na kupokea mrejesho kwa ajili ya kufanya maboresho ya bidhaa pamoja na viwango vya huduma. wengine pichani kutoka kushoto ni Afisa Biashara Mkuu wa ACB, Bi. Wezi Mwazani pamoja na mwakilishi wa wafanya Biashara wa soko kuu la Mwanza.
Meneja wa Akiba Commercial Bank Tawi la Mwanza Bw.Emmanuel Makula akitambulisha timu yake ya ushindi ya Tawi hilo Wakati wa hafla ya kukuza na kuimarisha mahusiano na wateja wa benki hiyo mkoa wa mwanza.

Benki ya Akiba imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kuwa karibu na wateja kwa kuandaa mkutano maalum na wateja wa Mwanza uliofanyika tarehe 22 Mei 2025 katika ukumbi wa Gold Crest Hotel.

Tukio hili lilivutia zaidi ya wateja 250, ikiwa ni ishara ya hamasa kubwa na utayari wa jamii ya Kanda ya Ziwa kunufaika na huduma Benki hiyo.

Katika mkutano huo wa ana kwa ana, wateja walipata nafasi ya kuzungumza moja kwa moja na viongozi waandamizi wa benki, kutoa maoni yao kuhusu huduma, kueleza changamoto wanazokutana nazo katika shughuli za kifedha, pamoja na kujifunza kuhusu huduma na bidhaa mpya za benki.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Akiba, Bw. Silvest Arumasi, alipata nafasi ya kuzungumza na wateja na kueleza kuwa mkutano huu ni sehemu ya mikakati ya Benki katika kuimarisha mawasiliano na wateja wake. Alisema:

Benki ya Akiba inaamini katika kusikiliza wateja wake. Lengo letu ni kuelewa vizuri zaidi mahitaji yao halisi ili tuweze kutoa huduma zinazogusa maisha yao kwa namna chanya, hasa katika mazingira yao ya kila siku.

Bw. Arumasi aliongeza kuwa benki inaendelea kuweka mkazo katika kutoa msaada kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati kwa kuwapa jukwaa la kuzungumza moja kwa moja na wataalamu wa kifedha na kupata ushauri wa kibiashara wenye manufaa ya moja kwa moja.

Afisa Mkuu wa Biashara, Bi. Wezi Mwanzani, alieleza kuwa mwitikio mkubwa wa wateja wa Mwanza ni ushahidi wa Imani ya Wakazi wa Mwanza kwa Benki ya Akiba pamoja na uhitaji mahitaji mkubwa wa huduma za kifedha. Alisema

Tunashukuru kwa mwitikio mzuri kutoka kwa wateja wa Mwanza. Kama benki, tutaendelea kutoa huduma bunifu na zinazolenga kumsaidia mteja katika uhalisia wa biashara zake. Mwanza ni sehemu muhimu ya mpango wetu wa kuhakikisha huduma zetu zinawafikia watu wote.

Bi. Wezi alisisitiza kuwa dhamira ya benki ni kuijenga jamii jumuishi kifedha, kwa kuhakikisha watu wote wanapata nafasi sawa ya kutumia huduma za kifedha kama njia ya kujikwamua kiuchumi.

Mbali na majadiliano, tukio hili pia liliambatana na utoaji wa elimu ya kifedha. Wateja walielimishwa kuhusu usimamizi wa fedha binafsi na za biashara, matumizi salama ya huduma za kidijitali kama benki mtandao na miamala kwa njia ya simu, pamoja na mbinu bora za kukuza biashara kwa njia endelevu.
Share:

Sunday, May 18, 2025

Startups reimagining farming through digital mechanization.

By Kilasa Mtambalike

In the heart of the country, where smallholder farmers have long relied on traditional tools like hoes and ox-plows, a new generation of agricultural startups is sowing the seeds of transformation.

Young entrepreneurs are reimagining farming by introducing affordable mechanization solutions that are bridging the productivity gap and driving food security.


One such trailblazer is Greenbiz Limited, a startup based in Kisongo, Arusha. This is a platform that captures what farmers are already doing, how much they save weekly, how they repay loans, and their farming activities and turns that into a digital credit profile.


Co-founder Daniel Elibariki says that the idea was born from a simple but powerful realization: rural farmers, especially women, were doing everything right; saving weekly, working hard, and forming cooperative groups, yet remained locked out of formal finance because they lacked collateral. 
“We saw these groups, known as Village Community Bank (VICOBA), as a foundation we could build on.
 By digitizing their financial records and aggregating their data, we realized we could build a trust bridge between these farmers and banks. That’s how the journey started out of a desire to make finance fairer and more inclusive for the people who need it most,” he says.


The startup addresses the financing gap for smallholder farmers, particularly the lack of access to credit due to traditional collateral requirements.


Agriculture contributes over 25 percent to Tanzania’s GDP, yet most smallholder farmers still rely on informal lending or personal savings. Without finance, there's no mechanization, no inputs, and no scaling. Given the growing threats from climate change and food insecurity, closing this gap has never been more urgent.


The company uses the profiles to secure collateral-free loans from partner banks and integrates agricultural advisory and sensor technology to help farmers make data-driven decisions and the result is that a farmer wakes up not just hoping for rain, but knowing when to plant, how much to borrow, and where to improve.

 
“We are focused on micro-mechanization, tools and technologies that fit the scale and budget of smallholder farmers. Things like soil sensors, drip irrigation kits, and precision planting tools. These might seem small, but for a farmer using only hand tools, they’re game-changers. We're filling the gap between traditional labor and full-scale mechanization, which is often unaffordable or unsuitable for small farms,” Elibariki says.
Elibariki says that one of the biggest hurdles in their operations has been digital and financial literacy.


“Farmers need to understand not just how to use our platform or devices, but why they matter. That’s why training is central to our model. We host in-person sessions and partner with local leaders and youth to serve as digital champions in each village. Building trust has also been key, most rural communities have been burned by “solutions” that disappeared after a pilot,” he adds.


Grenbiz Limited is among the beneficiaries of KilimoTech Accelerator. The brainchild of Youth Entrepreneurship for the Future of Food and Agriculture (YEFFA), the strategic initiative is supported by Alliance for a Green Revolution in Africa (AGRA) and implemented by Sahara Accelerator and aims to accelerate digital innovations in agricultural mechanization for Tanzania's smallholder farmers.

Emmanuel Senzighe, Kilimotech Accelerator Project Manager, says that The project focuses on enhancing productivity and sustainability in the sunflower, maize, horticulture, and rice value chains by supporting Agritech startups (Agripreneurs) and fostering partnerships among key stakeholders.


The program focuses on scaling Agritech startups (Agripreneurs) by providing tailored support, technical and business diagnostics, and technical mentorship. By connecting young women and men SMEs to mechanization, irrigation, and financial service providers, Kilimotech Accelerator fosters a vibrant ecosystem of innovators, startups, and key stakeholders.


This comprehensive approach aims to enhance the productivity of Tanzania’s agriculture sector by leveraging digital platforms to address key barriers such as high equipment costs, limited system integration, and restricted access to financing.


It further enables the most underserved farmers, particularly youth and smallholders, to leapfrog into modern mechanization by making essential technologies more accessible, affordable, and readily available.

   
“GreenBiz is one of nine innovative solutions currently being accelerated with tailored support to refine their offerings and develop proof-of-concept models that can enable scalable impact. The Accelerator is committed to driving sustainable growth and market readiness for these startups through mentorship, targeted workshops, ecosystem engagement, and strategic collaboration, ultimately aiming to expand youth employment and enhance access to mechanization services,” he adds.
      
As for Elibariki, KilimoTech has been instrumental in the growth of their startup and they see a brighter future on the horizon.


“The mentorship helped us refine our product-market fit, the network connected us with potential partners, and the exposure has opened doors to potential investors and partners we wouldn’t have accessed on our own. It’s been a catalyst for our next phase of growth,” he says. 
He notes that they expect a twofold impact from their operations: increased productivity through timely decision-making and smart investments, and a shift in labor dynamics where technology eases the burden on women and youth.

 
“With access to finance and mechanization tools, farmers can cultivate more land, reduce post-harvest losses, and generate higher incomes. Over time, we hope to see less outmigration of rural youth and more pride in farming as a tech-driven profession,” he says.


According to Elibariki, despite their expectations, their journey has not been devoid of surprises or memorable moments.


“One Maasai woman in our pilot group told us that for the first time in her life, she feels like a "bankable" person. That word “bankable” really stuck with us.


 It’s not just about money. It’s about dignity, confidence, and a sense of being seen and valued by the formal system,” he says.


Still, challenges remain. Agritech is tough because you’re dealing with two notoriously hard sectors, agriculture and finance.

 Getting banks to trust community data and getting farmers to trust tech requires patience and consistency, says Elibariki.


“We’ve faced setbacks in infrastructure, resistance to change, and even skepticism from funders. But the impact we’ve seen makes it all worthwhile,” he adds.


Mechanization has traditionally been the missing link in Africa’s agricultural development. 
According to the UN Food and Agriculture Organization, over 60 percent of sub-Saharan farmers still rely on hand tools. But startups are now stepping into this gap with technology tailored to local realities.


Creating an enabling environment for agri-tech startups means investing not just in individual ventures but in the ecosystem itself. 


Governments, donors, and private sector actors have a role to play in supporting research, building infrastructure (like rural connectivity), and shaping policies that promote innovation.


As the digital revolution sweeps through agriculture, the startups that will succeed are those with both the tools to build and the vision to lead. 


By equipping innovators with the right mix of business savvy and technical depth, we can unlock the full potential of technology to power a more resilient and productive future for farming.
And hopefully, somewhere out there, investors are taking note.
Share:

Wednesday, May 14, 2025

Air France-KLM Appoints Joris Holtus as General Manager for East and Southern Africa, Nigeria and Ghana

Holtus was until now the VP of Sales Planning & Development at Air France-KLM’s headquarters in Amstelveen, Netherlands and Paris – Roissy-Charles de Gaulle, where he led a 100-person team with a responsibility to develop sales strategies, policies and products
  • He has 25 years’ experience, including in Africa, where he has served as the airline group’s General Manager for Southern Africa.
NAIROBI, Kenya, May 9, 2025 – Air France-KLM has today announced the appointment of Joris Holtus as General Manager for East and Southern Africa, Nigeria and Ghana, effective immediately. Holtus succeeds Marius van der Ham, who held the position for the past three years and played a pivotal role in strengthening the Group’s presence and partnerships across the region.

With over 25 years of senior leadership experience across four continents, Holtus brings deep expertise in commercial strategy, customer experience, and business transformation. He returns to the African continent, having served as General Manager for Southern Africa at Air France-KLM, where, for three years, he held full commercial, operational, and organizational responsibility.

We are excited to welcome Joris Holtus back to Africa in this critical leadership role,” said Hildabeta Amiani, the Country Sales Manager, Kenya at Air France KLM. “His deep understanding of diverse markets, commitment to transformation, and passion for people make him ideally suited to lead our continued growth in this dynamic region.

In his most recent role as Vice President Sales Planning & Development at Air France-KLM’s headquarters in Amstelveen, Netherlands and Paris – Roissy-Charles de Gaulle, Holtus led a 100-person team , reshaping the Group’s global sales organization and driving performance through innovation, technology and transformation.

His career highlights include:
  • Launching Air France-KLM’s Corporate Sustainable Aviation Fuel (SAF) program, an industry-leading initiative.
  • Leading airline turnaround strategies, focusing on digital transformation and customer excellence.
  • Driving strong revenue growth and network expansion across Latin America and the Caribbean as General Manager Mid-Americas & Dutch Caribbean.
  • Spearheading award-winning customer experience innovations such as SkyPriority and KLM’s Meet & Seat.
Born in Hertogenbosch, The Netherlands, Holtus holds a Master’s degree in Business Economics from Vrije Universiteit Amsterdam and is fluent in Dutch and English, with working experience in German and Spanish.

I am honored to rejoin the region at such an exciting time for aviation in Africa,” he said. “The East, Southern and West African markets are full of opportunity and innovation. I look forward to working with our teams and partners to further enhance connectivity and customer service”.

Holtus assumes leadership of the region as the Air France–KLM Group continues to expand its footprint across East Africa. Recently, Air France launched flights to Kilimanjaro, marking its entry into northern Tanzania and underscoring its commitment to broadening its global network and enhancing connectivity to and from Africa. Air France also operates daily direct flights from Nairobi, Kenya to Paris-Charles de Gaulle, strengthening its presence in the region.

Meanwhile, KLM provides convenient access to Dar es Salaam via Amsterdam with seven weekly flights. The airline also serves Kilimanjaro five times a week and Zanzibar twice a week, offering travellers more flexible options within Tanzania.

About the Air France–KLM Group

A global player with a strong European base, the Air France-KLM Group’s main areas of business are passenger transport, cargo transport and aeronautical maintenance.

Air France-KLM is a leading airline Group in terms of international traffic on departure from Europe. It offers its customers access to a worldwide network, covering over 300 destinations thanks to Air France, KLM Royal Dutch Airlines and Transavia, mainly from its hubs at Paris-Charles de Gaulle and Amsterdam-Schiphol.

Its Flying Blue frequent flyer programme is one of the leaders in Europe with over 20 million members.

Together with its partners Delta Air Lines and Virgin Atlantic, Air France-KLM operates the largest transatlantic joint venture, with more than 340 daily flights in 2019.

Air France-KLM is also a member of the SkyTeam, the alliance dedicated to providing passengers with a more seamless travel experience at every step of their journey with 19 member airlines working together across an extensive global network.

Recognized for 18 years as an industry leader in sustainable development, the Air France-KLM Group is determined to accelerate the transition to more sustainable aviation
Share:

Tuesday, May 13, 2025

VODACOM YAZINDUA MSIMU WA 4 WA DIGITAL ACCELERATOR: BIASHARA 15 ZA KIBUNIFU KUCHUANA

Vinara 15 wa Vodacom Digital Accelerator Season 4 Watangazwa! Washindi wa msimu wa 4 wa bunifu za kampuni changa (Startups), inayoandaliwa na Vodacom Tanzania, wakiwa katika picha ya pamoja na timu ya kampuni hiyo baada ya kutangazwa katika tukio lililofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
  • Kufundishwa ujasiriamali na Wataalamu wa Kimataifa kutoka Marekani
Dar es Salaam, Mei 9, 2025: Vodacom Tanzania PLC, kwa kushirikiana na Huawei Tanzania, imezindua rasmi Msimu wa 4 wa Vodacom Digital Accelerator (VDA), hatua nyingine katika kusaidia ubunifu na ujasiriamali nchini.

Mwaka huu, biashara bunifu 15 zimechaguliwa kushiriki katika programu ya siku 5 ya Design Sprint, itakayoendeshwa na wataalam wa kimataifa kutoka programu ya MassChallenge ya nchini Marekani.

Lengo la Design Sprint ni kuboresha biashara zinazochipukia, kuimarisha ufanisi wa bidhaa sokoni na kuongeza maandalizi yao kwa ajili ya kuvutia uwekezaji. Kati ya hizi, biashara 10 zenye uwezo mkubwa wa kufanikiwa zitachaguliwa kwa safari ya miezi 3 ya kuendelezwa, ambapo zitapata ushauri wa kitaalam, msaada wa maendeleo ya biashara, na fursa mahususi za kufikia masoko ya ndani na ya kimataifa.


Msimu wa 4 wa VDA unaendeshwa kupitia ushirikiano wa kimkakati unaoendelea kati ya Vodacom na Huawei, jambo litakalowezesha wabunifu hao kushiriki kwenye safari ya kujifunza nchini China mwezi Juni. Wakati wa ziara hiyo ya kimataifa, wabunifu hao watakutanishwa na kampuni kubwa za teknolojia za nchini China, ili kujifunza mifumo ya ubunifu wa kisasa na pia kuwasilisha bunifu zao mbele ya wawekezaji binafsi na mashirika.

Katika hatua kubwa ya kuwaendeleza wajasiriamali chipukizi, msimu huu utakuwa na uwekezaji wa fedha taslimu zitatolewa kwa biashara tatu bora, ili kusaidia kukuza bunifu zao na hivyo kuwaongezea uwezo wa ushindani ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.

"VDA ni jukwaa la ukuzaji wa kizazi kijacho cha wavumbuzi wa Kitanzania. Na kwa mara nyingine tunachanganya ubunifu wa ndani na uzoefu wa kimataifa tukiwasaidia vijana wabunifu katika kujenga biashara zinazoweza kupanuka, kupata uwekezaji na kuingia kwenye majukwaa ya kimataifa," alisema Zuweina Farah, Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania.

Tangu kuanzishwa kwake, Vodacom Digital Accelerator imewezesha zaidi ya biashara chipukizi 75 nchini kwa kuwapatia nyenzo, mtaji na kuwakutanisha na wajasiriamali na makampuni makubwa iliyowawezesha kukua na kustawi. Msimu wa 4 unaendeleza urithi huu, kwa dhamira mpya ya ujumuishwaji wa kidijitali, uhifadhi wa baiyoanuai, ujasiriamali wa vijana na uwezeshaji wa kiuchumi.

Kuhusu Vodacom Digital Accelerator (VDA):

Vodacom Digital Accelerator (VDA) ni programu Iliyoanzishwa mwaka 2019 na Vodacom tanzania PLC kwa lengo kuu ya kusaidia biashara chipukizi za kiteknolojia kukua. VDA hutambua, kulea, na kukuza biashara changa na zinazokua za kiteknolojia zenye lengo la kutatua changamoto za jamii kwa njia ya ubunifu. Programu hii inachanganya ushauri wa kitaalam, ufikiaji wa masoko, maandalizi ya uwekezaji, na uzoefu wa kimataifa ili kusaidia biashara chipukizi za Kitanzania kustawi katika uchumi wa kidijitali unaoshindana
Share:

Friday, April 18, 2025

WATU 12,000 WAHOFIWA KUUGUA UGONJWA WA HIMOFILIA NCHINI

Waziri wa Afya wa Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (katikati), akika utepe kuashiria uzinduzi wa kliniki ya himofilia, sambamba na maadhimisho ya Siku ya Himofilia Duniani katika hafla iliyofanyika katika Hospitali ya Wilaya ya Ijitimai, Visiwani Zanzibar, jana. Pamoja naye ni wawakilishi kutoka Chama cha Himofilia Tanzania (HST), Taasisi ya himofilia ya novo nordisk, Wizara za afya kutoka Tanzania na Zanzibar, Hospitali ya Taifa Muhimbili, Chama cha Himofilia Duniani na wadau wengine.

Na mwandishi wetu, Zanzibar.

TAKWIMU zinaonyesha kati ya watu elfu sita hadi elfu 12, wanahofiwa kuugua ugonjwa wa himofilia nchini huku idadi ya watu waliogundulika kuwa na ugonjwa huo hadi sasa wakiwa ni 451 pekee.

Hayo yalisemwa na Waziri wa Afya wa Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Himofilia Duniani iliyofanyika pamoja na uzinduzi wa Kliniki ya Himofilia, katika Hospitali ya Wilaya ya Ijitimai, Visiwani humo jana.

Hafla hiyo iliandaliwa na Chama cha Himofilia Tanzania (HST), kwa uwezeshaji kutoka Taasisi ya himofilia ya novo nordisk na Chama cha Himofilia Duniani kwa ushirikiano kutoka Serikali ya Tanzania na ya Zanzibar, wizara za afya kutoka pande zote mbili, Hospitali ya Taifa Muhimbili na wadau wengine.

Mheshimiwa waziri alisema takwimu za kidunia zinaonesha mtu mmoja kati ya 10 anapatikana na ugonjwa huo, hii ikimanisha kuwa Tanzania yenye watu takribani milioni 61 inaweza kuwa na wagonjwa elfu 6 hadi elfu 12, huku ikielezwa 97% ya watu wenye ugonjwa huu duniani kote hawajagundulika, ambapo kwa upande wa Tanzania waliogundulika mpaka sasa ni 451 tu.

Kama tunavyofahamu himofilia ni ugonjwa wa damu kukosa uwezo wa kuganda unaosababishwa na ukosefu wa kiwango cha chembechembe za protini zinazotakiwa kugandisha damu hivyo kusababisha damu kuvuja kwa mda mrefu pindi mtu anavyopata jeraha hivyo kuhatarisha maisha yake."

Maisha ya watu wenye matatizo haya yanahitaji uangalizi mkubwa na tahadhari kubwa ili kuzuia uvujaji wa damu, ulemavu na vifo hivyo kuwepo na hitaji la kubaini aina ya himofilia na kupata matibabu ya kuchomwa sindano yenye chembechembe za protini zinazokosekana mwilini ili kusaidia kuzalisha damu”, alisema Waziri Mazrui.

Alisema Mwaka 2020 Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikishirikiana na Taasisi ya himofilia ya Novo Nordisk ilianzisha mradi wa kuongeza kasi ya upatikanaji wa huduma kwa watu wenye magonjwa ya damu lengo kuu ikiwa ni kuunga mkono serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya afya katika kupunguza madhara ya vifo vinavyotokana na magonjwa yasiyo ambukiza ikiwemo himofilia na selimundu.

Pamoja na hayo alisema, lengo kubwa la mradi huu ni kuwezesha upatikanaji wa vipimo vya wagonjwa wa damu, seli mundu, na himofilia katika hospitali za rufaa nchini sambamba na kuanzisha kliniki za magonjwa hayo, kuwezesha mafunzo na upatikanaji wataalamu wa afya waliobobea kwenye hospitali hizo pamoja na upatikanaji wa miundo mbinu sahihi, vipimo na dawa ili wagonjwa wahudumiwe mahali popote nchini bila kulazimika kufika Muhimbili.

Katika maadhimisho haya leo nina furaha kubwa kuwaambia kuwa mradi huu katika kipindi cha uhai wake kuanzia kipindi cha kwanza hadi kipindi cha pili tayari umefanikisha kukamilisha ukarabati wa kliniki za himofilia katika hospitali 13 zikiwemo hospitali za Muhimbili, KCMC, mbeya na Bugando."

Tunawashukuru pia wafadhili wetu kwa msaada wa dawa zenye thamani ya shs milioni 500, kwa kweli mmetusaidia sana na vifaa nyenye gharama kubwa, chini ya uongozi wa maraisi wetu, Samia Suluhu Hassan na Hussein Ali Mwinyi, tunaendelea kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha kila mtanzania anapata matibabu kwa usahihi na kwa wakati, hivyo juhudi zenu hizi zinatufanya twende sambamba na juhudi za viongozi wetu hawa”, aliongeza waziri huyo.

Akizungumzia zaidi kuhusu himofilia, Mwenyekiti wa Chama cha Himofilia Tanzania (HST), Dk. Stella Rwezaura alisema, asilimia 70 ya wagonjwa wa himofilia wanarithi na inabebwa katika kinasaba cha kike, kwani mwanamke ana ‘x’ mbili na mwanaume ana ‘xy’, hivyo endapo mwanamke ana ‘x’ yenye vinasaba vya himofilia, asilimia 50 ya watoto wake wa kiume watakuwa na tatizo hilo hivyo kufanya asilimia 99 ya wagonjwa wa himofilia kuwa wanaume.

Tunaposherehea Siku ya Himofilia Duniani, sambamba na Kauli Mbiu ya Mwaka 2025 isemayo, ‘Wanawake na Wasichana pia wanakumbwa na tatizo la kuvuja damu, licha ya himofilia kuwapata zaidi wanaume, tuwaite wanawake waje kupima, waweze kutambulika mapema hivyo kupata matibabu sahihi."

Lengo la mradi huu ni kuwatambua wagonjwa wengi zaidi na kupata huduma kwani wapo wengi wenye tatizo hili na hii ilitokana na changamoto ya uhaba wa vifaa, mashine na vitendanishi vya kutambua ugonjwa huu, hivyo kwa msaada wa wafadhili, vyama vya wagonjwa pamoja na serikali yetu sikivu ya Tanzania, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, wizara yake ya afya na wadau wengine, huduma hizi sasa zinafika karibu kwa wananchi kwa usahihi zaidi”, aliongeza Dk. Stella.

Naye mmoja wa wagonjwa wa Himofilia ambaye pia anauguza watoto wawili wenye ugonjwa huo, Regina Shirima alisema anakabiliwa na changamoto kubwa ya hali duni ya kiuchumi baada ya kutumia muda wake mwingi katika kuhudumia watoto hivyo kutokuwa na muda kabisa wa kujishughulisha na kazi za kujitafutia kipato.

changamoto nyingine ni kwa watoto wenyewe hawapati muda wa kusoma, kucheza na wenzao ama kuwa na furaha kwani muda mwingi wanakuwa wagonjwa, lakini ni ukweli kuwa wanawake ndio wanabeba vinasaba vya himofilia, lawama nyingi zinakuja kwetu kwa kuzaa watoto wenye changamoto hii, hivyo unajikuta familia imekuacha”. Akiongeza kuwa kuna wakati kulikuwa na changamoo ya upatikanaji wa dawa ukizingatia kuwa mgonjwa wa himofilia akikosa dawa tu anaweza uhai wake unakuwa hatarini.

Natoa wito kwa jamii kuwa gonjwa hili la himofilia lipo na mama sio anayesababisha mtoto kuzaliwa na ugonjwa huu, kwani huwezi kupata mtoto bila ya baba”, aliongeza Bi. Regina kwa mshangao.

Awali akizungumza katika hafla hiyo, Mwenyekiti wa Bodi ya Chama cha Himofilia Tanzania (HST), Dk. Lawrence Museru alisema HST imekuwa sauti ya wenye ugonjwa wa himofilia katika kuangalia changamoto wanazopitia katika kutafuta tiba, moja ya changaoto ni utambuzi wa ugonjwa huu katika jamii.

Wagojwa wamekuja kutambulika baada ya kupoteza maisha ama kupata ulemavu wa kudumu kwasababu ugonjwa huo haukutambulika hivyo tunaokoa sauti yao kuona jamii na watoa huduma za afya wanatambua ugonjwa huo na wagonjwa wanapata tiba sahihi."

Tiba sahihi ni ghali sana na serikali haiwezi peke yake, hivyo lazima uwepo ushirikiano kutoka kwa sisi chama ambacho kina wataalamu na wadau wengine ili kuusemea ugonjwa huu, na tunaimani uwepo wako mheshimiwa waziri unafanya ugonjwa huu usemeke katika vyombo vya maaumuzi”, alisema Prof. Museru.

Akimkaribisha Mheshimiwa Waziri, Mkurugenzi wa Tiba na Elimu ya Afya Zanzibar, Dk. Marijani Msafiri alisema katika kipindi cha miaka minne, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar chini ya uongozi wa Dr. Hussein Ali Mwinyi imefanya mapinduzi makubwa katika kuboresha huduma za afya, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa hospitali 10 za wilaya na hospitali moja kubwa ya kisasa ya mkoa ya Lumumba.

Ndani ya hospitali hizi sasa tumeimarisha miundombinu na huduma, serikali yetu ya awamu na nane pia imeamua kufanya kazi na sekta binafsi ili kutoa huduma bora kwa wagonjwa wote ikiwa ni pamoja na wagonjwa wa himofilia, zikiwemo huduma za maabara, utoaji wa dawa na uendeshaji wa hospitali”, alisema Dk. Msafiri.
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (katikati), akiagana na Mwenyekiti wa Chama cha Himofilia Tanzania (HST), Dk. Stella Rwezaura, mara baada ya maadhimisho ya Siku ya Himofilia Duniani iliyofanyika pamoja na uzinduzi wa Kliniki ya Himofilia, katika Hospitali ya Wilaya ya Ijitimai, Visiwani Zanzibar jana. Mstari wa chini ni baadhi ya watoto wanaougua ugonjwa wa himofilia.
Mwenyekiti wa Bodi ya Chama cha Himofilia Tanzania (HST), Prof. Lawrence Museru (katikati), akiongoza maandamano kuadhimisha Siku ya Himofilia Duniani, Visiwani Zanzibar jana. Maadhimisho hayo yalifanyika pamoja na uzinduzi wa kliniki ya Himofilia katika Hospitali ya Wilaya ya Ijitimai, visiwani humo.
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (kushoto), akipokea cheti cha shukurani, kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Himofilia Tanzania (HST), Dk. Stella Rwezaura, mara baada ya maadhimisho ya Siku ya Himofilia Duniani, pamoja na uzinduzi wa Kliniki ya Himofilia, katika hafla iliyofanyika kwenye Hospitali ya Wilaya ya Ijitimai, Visiwani Zanzibar, jana.
Mkazi wa Zanzibar, Baba mwenye watoto wawili wanaougua himofilia, Suleiman Ali Seif, akishiriki matembezi akiwa na watoto wake wenye ugonjwa huo, Murshin Ali (kulia), na Sahir Ali, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Himofilia Duniani, mjini Zanzibar jana. Maadhimisho hayo yaliyofanyika pamoja na uzinduzi wa Kliniki ya Himofilia, yaliandaliwa na Chama cha Himofilia Tanzania (HST), kwa uwezeshaji kutoka Taasisi ya himofilia ya novo nordisk na Chama cha Himofilia Duniani. Himofilia ni ugonjwa wa damu kukosa uwezo wa kuganda unaosababishwa na ukosefu wa kiwango cha chembechembe za protini zinazotakiwa kugandisha damu hivyo kusababisha damu kuvuja kwa mda mrefu pindi mtu anavyopata jeraha hivyo kuhatarisha maisha yake.
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (kushoto), akisalimiana na Mwenykiti wa Bodi ya Chama cha Himofilia Tanzania, Prof. Lawrence Museru, wakati akipokea maandamano, yaliyokuwa sehemu ya shamrashamra za maadhinisho ya Siku ya Homifilia Duniani, sambamba na uzinduzi wa Kliniki ya Himofilia, katika Hospitali ya Wilaya ya Ijitimai, mjini Zanzibar, jana.
Mmoja wa wadau wa himofilia, akipokea cheti cha shukurani, mara baada ya kukamilika kwa hafla ya maadhimisho Siku ya Homifilia Duniani, sambamba na uzinduzi wa Kliniki ya Himofilia, katika Hospitali ya Wilaya ya Ijitimai, mjini Zanzibar, jana.
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (katikati), akiwa na wawakilishi kutoka Chama cha Himofilia Tanzania (HST), Taasisi ya himofilia ya novo nordisk, Wizara za afya kutoka Tanzania na Zanzibar, Hospitali ya Taifa Muhimbili, Chama cha Himofilia Duniani na wadau wengine katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Himofilia Duniani iliyofanyika pamoja na uzinduzi wa Kliniki ya Himofilia, katika Hospitali ya Wilaya ya Ijitimai, Visiwani Zanzibar jana.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive