A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Monday, December 15, 2025

BENKI YA ABSA YAIPONGEZA BLACK SWAN KWA USHINDI WA BARA AFRIKA, YATHIBITISHA DHAMIRA YA KUKUZA SAFARI YA UBUNIFU WA TEKNOLOJIA YA KIFEDHA (FINTECH) TANZANIA

Benki ya Absa Tanzania imeipongeza Black Swan kwa kuibuka mshindi wa jumla wa Absa–MEST Africa Challenge 2025, shindano la ubunifu linalojumuisha nchi mbalimbali barani Afrika na linaloendeshwa kwa ushirikiano na Meltwater Entrepreneurial School of Technology (MEST Africa). Black Swan pia ilikuwa miongoni mwa washindi watatu bora wa Absa Wazo Challenge Tanzania 2025.

Ushindi huo wa ngazi ya bara, uliopatikana kupitia kampuni ya Black Swan iliyosajiliwa nchini Mauritius, ni hatua muhimu kwa teknolojia ya fedha (fintech), ambayo safari yake ilianza kutambulika ndani ya nchi kupitia Wazo Challenge Tanzania ya Absa Bank Tanzania. Mafanikio hayo yanaonesha nafasi ya Absa kama kichocheo cha ubunifu, kutoka uthibitisho wa ndani hadi ukuaji wa kiwango cha bara.

Shindano la Absa–MEST Africa Challenge liliwakutanisha kampuni bunifu zinazojihusisha na teknolojia za kifedha zenye uwezo mkubwa kutoka katika nchi mbalimbali ambako Absa inafanya kazi. Black Swan ilijitofautisha kwa suluhisho lake la upimaji mbadala wa uaminifu wa mikopo linalotumia Akili Bandia (AI), linalolenga kupanua upatikanaji wa huduma za kifedha kwa watu na biashara ndogo na za kati (SMEs) ambazo hazijahudumiwa vya kutosha.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (kulia) akishikana mikono na Mkurugenzi wa Huduma Jumuishi za Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Kennedy Komba jijini Dar es Salaam hivi karibuni, wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango wa Wazo Challenge Tanzania, unaolenga kuimarisha ubunifu na ujasiriamali katika sekta ya Teknolojia ya Fedha (FinTech) na biashara changa (startup) nchini Tanzania. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja na Huduma za Kidigitali, Bw. Samuel Mkuyu. (Picha; Maktaba)

Akizungumza kuhusu mafanikio hayo, Sam Mkuyu, Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja na Huduma za Kidigitali wa Benki ya Absa Tanzania, Samuel Mkuyu, alisema: “Ushindi wa Black Swan ni uthibitisho madhubuti wa sababu za kuwepo kwa majukwaa kama Wazo Challenge Tanzania. Ubunifu haukui ukiwa peke yake, unahitaji upatikanaji wa utaalamu, matumizi halisi, na taasisi zilizo tayari kushirikiana. Kupitia Wazo Challenge Tanzania, tunaunda kwa makusudi mazingira yanayowezesha fintech kujaribu mawazo, kuimarisha mifumo yao ya kiteknolojia, na kujenga suluhisho zinazoweza kukua, salama, na zinazoendana na mustakabali wa sekta ya benki. Kuona ubunifu uliojikita Tanzania ukishinda katika ngazi ya bara ni matokeo hasa tuliyolenga kuyawezesha.

Wazo Challenge Tanzania, iliyoanzishwa na Benki ya Absa Tanzania kwa ushirikiano na Hindsight Ventures, ilibuniwa kusaidia teknolojia za kifedha na wabunifu wanaoendeleza suluhisho zinazolingana na kaulimbiu ya “Bank of the Future.” Tangu kuanzishwa kwake, mpango huu umejenga imani miongoni mwa wabunifu wa ndani, ukionesha kuwa kampuni zinzojishughulisha na teknolojia za kifedha za Tanzania zinaweza kushindana na kushinda katika majukwaa makubwa barani Afrika.

Zaidi ya Tanzania, Absa Group inaendelea kuchangia kwa kiwango kikubwa ukuaji wa fintech barani Afrika kupitia mipango kama MEST Africa Challenge, inayounganisha kampuni changa na mitaji, ushirikiano wa kibiashara wa kiwango cha taasisi, pamoja na fursa za kuvuka mipaka ya nchi.
Baadhi ya washiriki wa Wazo Challenge Tanzania 2025, wakiwa katika hafla ya makabidhiano ya zawadi kwa washindi, jijini Dar es Salaam hivi karibuni. (Picha; Absa Bank Tanzania)

Akizungumza kuhusu dhamira pana ya Absa na umuhimu wa kusimulia hadithi za ubunifu, Aron Luhanga, Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya Absa Tanzania, alisema:

Safari ya Black Swan inaakisi kikamilifu ahadi ya chapa yetu isemayo ‘Stori yako ina thamani’. Kutoka katika mfumo wa ubunifu wa Tanzania hadi kutambulika katika ngazi ya bara, hii ni stori ya imani, ushirikiano na uwezekano. Katika Absa, dhamira yetu iko wazi, Kuiwezesha Afrika ya Kesho, pamoja, hatua moja baada ya nyingine. Stori za fintech kama Black Swan zinatuhamasisha kuendelea kuunga mkono ubunifu na kusimama bega kwa bega na wajasiriamali wanaounda mustakabali wa Afrika.

Absa Bank Tanzania pia imetangaza kuwa maandalizi ya toleo lijalo la Wazo Challenge Tanzania yanaendelea, likitarajiwa kufanyika mwaka 2026, likiwa na msisitizo mkubwa zaidi kwenye suluhisho za teknoljia za kifedha zinazoweza kukua, ujumuishi wa kidijitali, na ushirikiano unaozalisha matokeo chanya ya kiuchumi.

Tunapoangalia mbele kuelekea Wazo Challenge Tanzania 2026, tunataka wabunifu wajue kuwa kuna taasisi katika soko hili zinazowaamini,” aliongeza Mkuyu. “Ubunifu hustawi pale imani inapokutana na fursa, na Absa imejidhatiti kutoa vyote viwili.

Kupitia mipango ya ngazi ya nchi na ya Kundi, Absa inaendelea kujiweka kama kinara wa fikra katika uwezeshaji wa fteknolojia za kifedha, ushirikiano wa ubunifu, na ujumuishi wa kifedha, ikihakikisha kuwa mawazo yanayozaliwa Tanzania yanaweza kukua na kuwa suluhisho zinazohudumia Afrika nzima.
Share:

Wednesday, December 10, 2025

AVODA BLUE TANZANIA GRADUATES FIRST COHORT OF ENTREPRENEURS

Unleashed Africa Social Enterprises Acting Board Chairperson, Ms. Ngianasia Minja (second right), presents a certificate to Ms. Esther Kolimba, a graduand of the four-month AVODA Blue Tanzania entrepreneurship program, during a function held in Dar es Salaam. The program aims to strengthen Tanzania’s business landscape through world-class strategy, operational excellence, and faith-based leadership principles. Looking on from left are Avoda Group Founder and CEO, Mr. Jun Shiomitsu, and Avoda Uganda Country Director, Mr. Joshua Agonya.

By Peter Mgongo | Dar es Salaam, Tanzania

The AVODA Blue Tanzania Program has celebrated the graduation of its first cohort of entrepreneurs, marking a major milestone in developing globally competitive and ethically grounded business leaders in the country. The ceremony held in Dar es Salaam recently, bringing together government leaders, business executives, investors, and development partners.

Launched earlier this year, AVODA Blue Tanzania is a four-month, execution-focused entrepreneurship program adapted from the Cambridge MBA and contextualized for African markets, the program aims to strengthen Tanzania’s business landscape through world-class strategy, operational excellence, and faith-based leadership principles.

Cohort 1 brought together founders from sectors including technology, food production, logistics, fashion, education, real estate advisory, and social enterprise. Over the past four months, participants completed intensive training sessions, virtual modules, one-on-one diagnostics, and practical assignments applied directly to their businesses.

Guest of Honor, Mr. Jason Ndanguzi who was representing the ICT Commission’s Director General, Dr. Nkundwe Mwasaga, underscored the importance of entrepreneurship in advancing the country’s digital economy.

This moment aligns with Tanzania’s broader vision, as a nation, we are accelerating the Digital Economy Framework, strengthening our ICT Policy, and preparing our people and enterprises for a knowledge-based, technology-enabled future. For the ICT Commission, this program demonstrates exactly the kind of capacity-building that Tanzania needs as we transition into a digital era."

Across global innovation economies, one pattern is clear; countries rise not because they have ideas, but because they have capable founders. Founders with strategic discipline. Founders who understand technology. Founders who lead with integrity. Founders who build enterprises that last. Avoda Blue is among the few programs in Tanzania addressing this with such depth, rigor, and intentionality”, he noted.

The ICT guru added; “As the ICT Commission, we stand ready to deepen collaboration with programs that strengthen digital capability, prepare entrepreneurs for scale, integrate emerging technologies, and support the creation of sustainable businesses. Tanzania’s rise depends on entrepreneurs who are ready to build boldly, adapt quickly, and innovate continuously."

To our graduates, today marks your transition into a new identity, you are no longer simply business owners, you are architects of Tanzania’s digital and economic future. Over the last four months, you have engaged with operational frameworks, financial discipline, AI tools, product refinement, Kingdom leadership principles, and investor readiness, this kind of preparation is rare in our market, and deeply necessary”, added Mr. Ndanguzi.

Earlier the Unleashed Africa CEO, Ms. Khalila Mbowe said her social ventures reaffirms its national commitment to building world-class programs that equip Tanzania’s youth, founders, and industry leaders with the skills, networks, and mindsets needed to build high-performing, future-ready enterprises

For too long, many African entrepreneurs including many of us have operated from the back benches of business excellence, that era must be history, across our brands; from RiseUp, to JUU’s creative economy work, to The Space and its flagship Nipe Dili program, Unleashed Africa has been steadily constructing a holistic empowerment ecosystem where young people can access opportunities, develop 21st-century skills, secure business support, and deepen their leadership potential”, said Ms. Khalila.

Avoda Group Founder and CEO Jun Shiomitsu expressed deep appreciation to Unleashed Africa for being the first organization in Tanzania to believe in and partner with the AVODA mission. He noted that although expanding the program beyond Uganda was initially considered difficult, the team’s prayers and the strong Christian entrepreneurial ecosystem helped pave the way. He added that their relationship with Unleashed Africa is already bearing visible fruit, demonstrating the powerful work taking place in Tanzania.

To the graduates; first of all, you believed in us. Now, as you graduate, it is our turn to believe in you, to ensure that your businesses find the customers they need and the capital they require. It is our turn now to place our trust in you. I am confident that your businesses will achieve great things, truly great things, and I stand firmly by that confidence. Christian connections around the world have already seen and experienced our services. By graduating from Avoda, you are being planted into a massive global ecosystem, in Asia, Europe, and the Americas, among people who share your faith and who want to see you succeed,” he said.

One of the graduands, Engineer Regina Fumbuka from Multi Genius Africa, an organization working to make mathematics more appealing and easier to teach said, the Avoda program has helped her learn how to become a good leader, build effective business systems, manage a business, and maintain proper financial records. She added that the program has enabled her to progress from one level to another in her entrepreneurial journey.

Three awards were presented during the ceremony; the Exceptional Performance Award, Business Growth Excellence Award, and Servant Leadership Award. Graduates also showcased their businesses, growth milestones, and investment or partnership needs through a three-minute pitch session.
Unleashed Africa Social Enterprises Acting Board Chairperson, Ms. Ngianasia Minja (second right), presents a certificate to Mr. Alexander Rwiza, a graduand of the four-month AVODA Blue Tanzania entrepreneurship program, during a function held in Dar es Salaam recently. The program aims to strengthen Tanzania’s business landscape through world-class strategy, operational excellence, and faith-based leadership principles. Looking on from left are Avoda Group Founder and CEO, Mr. Jun Shiomitsu, and Avoda Uganda Country Director, Mr. Joshua Agonya.
Unleashed Africa Chief Executive Officer, Ms. Khalila Mbowe (right), moderates a panel discussion during the four-month AVODA Blue Tanzania entrepreneurship program graduation, adapted from the Cambridge MBA and contextualized for African markets. The program aims to strengthen Tanzania’s business landscape through world-class strategy, operational excellence, and faith-based leadership principles. The event was held in Dar es Salaam recently. On her right are Avoda Uganda Country Director, Mr. Joshua Agonya; one of the graduands, Ms. Esther Kolimba and Avoda Group Founder and CEO, Mr. Jun Shiomitsu. (Photos by Peter Mgongo)
Share:

Tuesday, December 9, 2025

INNOVATION HUBS NETWORK STAKEHOLDERS RECOGNIZED FOR OUTSTANDING CONTRIBUTION

The Chairperson of the Board of the Tanzania Hubs Network (THN), Dr. Irene Shubi Isinika, speaking at the ceremony to commend pioneering innovation stakeholders held alongside the THN Annual General Meeting in Dar es Salaam recently. Since its establishment in 2020, THN has been at the forefront of building an innovation ecosystem by empowering innovation hubs to support innovators and entrepreneurs in driving social and economic development.
The Chairperson of the Board of the Tanzania Hubs Network (THN), Dr. Irene Shubi Isinika (right), presenting an honorary award to the Project Manager of the Funguo Program run by the United Nations Development Programme (UNDP), Mr. Joseph Manirakiza, in recognition of his contribution to innovation development in the country. This took place during the ceremony to commend innovation stakeholders held alongside the THN Annual General Meeting in Dar es Salaam recently.
Senior Lecturer at the College of Information and Communication Technologies of the University of Dar es Salaam and Innovation Coordinator through the university’s innovation hub (UDICTI), Dr. Moses Ismail (left), receiving an award presented by the Tanzania Hubs Network (THN) from the Country Director of the Westerwelle Tanzania Foundation, Mr. Isaack Shalo, at a ceremony organized by THN in Dar es Salaam to recognize pioneering stakeholders who have contributed to the advancement of innovation in the country.

By Peter Mgongo, Dar es Salaam

In recognizing the contribution of stakeholders who have supported the growth of innovation in the country, the Tanzania Hubs Network (THN) organized an official ceremony to commend pioneering innovation stakeholders, alongside the network’s annual general meeting.

Speaking at the ceremony in Dar es Salaam yesterday, the Executive Director of the network, Mr. Kiko Kiwanga, said the network, which was established in 2020, connects more than 62 hubs across Mainland Tanzania and Zanzibar, bringing together innovation hubs from universities, organizations, governmental bodies, and private centers.

Today is a very special day for our ecosystem because since we began, this is our first annual meeting, which started this morning with the guest of honor being the Director of the ICT Commission, Dr. Nkundwe Mwasaga. We are now doing something unique within our ecosystem to recognize stakeholders who have made significant contributions in advancing innovation and strengthening these hubs.

The contributions of these stakeholders have always been acknowledged, but today, for the first time, we are holding this event to recognize the pioneering stakeholders who have put great effort into ensuring that young innovators and startup entrepreneurs grow and receive support within our ecosystem,” said Mr. Kiwanga.

Speaking about the THN Network, the director said that since its establishment, it has been at the forefront of building an innovation ecosystem by empowering innovation hubs to support innovators and entrepreneurs to drive social and economic development.

We call upon the government to increase investment in supporting youth through this network, enabling them to achieve their innovation goals and establish companies with great potential to create jobs and solve various societal challenges. These hubs have done tremendous work in preparing young people, many come in without any ideas at all, and they are supported until they develop concrete concepts.

Speaking at the event, one of the stakeholders who received an award, Dr. Moses Ismail, a Senior Lecturer at the College of Information and Communication Technologies of the University of Dar es Salaam and Innovation Coordinator through the university’s innovation hub (UDICTI), said that although the university engages in teaching, research, community service, and consultancy, with innovation and entrepreneurship taught to first-year students for many years, in 2010 the college established the UDICTI innovation hub with the aim of providing practical innovation training.

The hub provides a dedicated workspace, specialized training in developing innovative products, and linkages to innovation stakeholders who can support the work they undertake.

Innovation is a crucial tool for the development of a country and its people because it enhances the value of local innovative products. Many of us rely heavily on imported products, yet locally we have various innovative products that help our students become major contributors to the production of these products, which eventually grow into companies and help increase employment, especially at a time when we want our university graduates to be key drivers of job creation rather than job seekers,” said Dr. Ismail.

Meanwhile, the Chief Executive Officer of the Business Registrations and Licensing Agency (BRELA), Mr. Godfrey Nyaisa, speaking at the event, urged innovators, especially those running startups to register their businesses with BRELA so they can benefit from various guidelines that will enable them to operate efficiently. He also challenged the THN Network to involve government authorities in their day-to-day operations.

With a vision of strengthening collaboration, providing resources, and promoting knowledge exchange among its members, THN also collaborates with the Information and Communication Technologies Commission (ICTC) to strengthen the innovation environment and promote the establishment of innovation hubs in various regions.

Share:

Friday, December 5, 2025

Benki ya Absa Tanzania yang'ara tuzo za NBAA

  

Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila (kulia), akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha katika kitengo cha Mabenki yenye Ukubwa wa Kati kwa Mwaka 2024 zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), kwa Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Stivin Augustino (wa pili kushoto) na Mdhibiti wa Masuala ya Fedha wa benki hiyo, Bw. Muhsin Kaye, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wa tatu kushoto Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA, CPA. Pius Maneno.
Mdhibiti wa Masuala ya Fedha wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Muhsin Kaye ( wa pili kushoto) akishikana mikono na Mwenyekiti wa Bodi ya NBAA, CPA Prof. Sylvia Temu, mara baada ya kupokea tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha katika kitengo cha Mabenki yenye Ukubwa wa Kati kwa Mwaka 2024 zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila, Mkurugenzi Mtendaji NBAA, CPA. Pius Maneno na Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa benki hiyo, Bw. Stivin Augustino.
Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Stivin Augustino (kushoto) na Mdhibiti wa Masuala ya Fedha wa benki hiyo, Bw. Muhsin Kaye wakipozi mbele ya wapigapicha baada ya kukabidhiwa tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha katika kitengo cha Mabenki yenye Ukubwa wa Kati kwa Mwaka 2024, zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Stivin Augustino (mstari wa mbele wa tatu kushoto) akipiga picha ya pamoja na washindi mbalimbali wa tuzo za Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha katika kitengo cha Mabenki yenye Ukubwa wa Kati kwa Mwaka 2024, zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), zilizofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Share:

Thursday, December 4, 2025

Absa Bank Tanzania Awards TZS 21 Million to its Customers in Latest Play Your Cards Right Raffle Draw

One of the winners of the first draw of the Absa Bank ‘Play Your Card Right’ campaign, Ms. Flora Obeto (left), receives a dummy cheque of TZS 3 million from the Absa’ Retail Banking Director, Mseka Ndabu Swere (right), during an event held alongside the second draw of the campaign in Dar es Salaam recently. During the draw, Mr. Joseph Mafuru won TZS 3 million, Ms. Xuan Lou won TZS 5 million, and Dr. Fauz Twain won TZS 10 million. Looking on is Absa Bank Tanzania Citizenship and Events Manager, Ms. Abigail Lukuvi.
One of the winners of the first draw of the Absa Bank ‘Play Your Card Right’ campaign, Ms. Flora Obeto (left), conducts the second draw of the campaign in Dar es Salaam recently. During the draw, Mr. Joseph Mafuru won TZS 3 million, Ms. Xuan Lou won TZS 5 million, and Dr. Fauz Twain won TZS 10 million. From left are Absa’s Citizenship and Events Manager, Ms. Abigail Lukuvi; Retail Banking Director, Ms. Ndabu Swere; a representative from the Gaming Board of Tanzania, Ms. Neema Tatock; and the bank’s Marketing & Communications Manager, Mr. Beda Biswalo.
Absa Tanzania’s Retail Banking Director, Ms. Ndabu Swere (centre), speaks in Dar es Salaam yesterday, during the second draw event of the Absa Bank ‘Play Your Card Right’ campaign, where the previous draw’s winner, Ms. Flora Obeto (second left), was also presented with her cash prize of TZS 3 million. During the draw, Mr. Joseph Mafuru won TZS 3 million, Ms. Xuan Lou won TZS 5 million, and Dr. Fauz Twain won TZS 10 million. From left are Absa’s Citizenship and Events Manager, Ms. Abigail Lukuvi, and a representative from the Gaming Board of Tanzania, Ms. Neema Tatock.
One of the winners of the first draw of the Absa Bank ‘Play Your Card Right’ campaign, Ms. Flora Obeto (centre), poses for a photo with some employees of Absa Bank Tanzania shortly after receiving a dummy cheque of TZS 3 million from the bank’s Director of Retail Banking, Ms. Ndabu Swere, during an event where Absa also conducted the second draw of the campaign. During the draw, Mr. Joseph Mafuru won TZS 3 million, Ms. Xuan Lou won TZS 5 million, and Dr. Fauz Twain won TZS 10 million.

Absa Bank Tanzania today hosted a vibrant press conference at Absa House, celebrating the second month winners of the ongoing Play Your Cards Right campaign. A total of TZS 18 million was awarded to three monthly winners, along with an additional TZS 3 million distributed among the Week 8 winners.

During the event, the three-monthly winners were announced and celebrated: Dr Fauz Twalib received TZS 10 million, Xuan Liu received TZS 5 million, and Joseph Constantine Mafuru received TZS 3 million. Additionally, the six weekly winners for Week 8, each awarded TZS 500,000, were officially recognized and celebrated. The weekly winners are Anita Peter Mselle, Michael Marshall Pemba, Mr. Idris Aziz Almamad Mazar, Shamma Kurban Hussein Dhirani, Christel Abdiel Ulomi, and Gheorghe Alexandru.

Reflecting on the journey of the campaign, Ms. Ndabu Swere, Director of Retail Banking, stated: “We are delighted with how Play Your Cards Right has resonated with our customers. It's encouraging to see so many embracing digital and card transactions, which are not only convenient but also enhance financial inclusion and safety. We sincerely thank our customers for their loyalty and participation.

Mr. Samuel Mkuyu, Director of Customer Experience & Digital, added: “At Absa, our purpose is to empower Africa’s tomorrow, together, one story at a time. Our brand promise is that ‘Your story matters,’ and this campaign brings that promise to life. By celebrating our customers’ stories, we reinforce that each transaction is part of a larger narrative of growth and trust.

In a heartwarming highlight, Mr. Felician Hechei, the winner of the previously announced luxury trip to the South Africa Champagne Festival, shared his experience. The trip was truly exceptional. From the business class flights to the five-star hospitality, Absa took care of everything. The Champagne Festival itself was a once-in-a-lifetime experience, and I encourage everyone to participate in future Absa campaigns.

The Play Your Cards Right campaign continues until the end of December 2025, culminating in a grand prize draw in January 2026 where one lucky customer will win TZS 30 million. “It’s going to be a fantastic start to 2026 for our winners,” Mr. Mkuyu
noted.
Share:

Wednesday, December 3, 2025

Benki ya Absa yakabidhi msaada wa mahitaji muhimu yakiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na cherehani kwa kituo cha kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo Lukono, wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro

  

Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa (katikati) na Ofisa wa kitengo cha fedha wa benki hiyo, Bi. Aiva Mussa, wakikabidhi kichwa cha chereheni kwa Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre Lugono, Bw. Ramadhani Msombeli, katika hafla ambayo benki hiyo ilikabidhi msaada wa mahitaji mengine muhimu yakiwemo vyakula, sabuni na vinywaji, kituoni hapo, mkoani Morogoro, jana.

Morogoro | Benki ya Absa imetoa msaada wa mahitaji muhimu kwa watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo kijiji cha Lugono wilayani Mvomero, mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya mchango wa benki hiyo na wafanyakazi wake katika kuunga mkono juhudi za malezi na kuboresha ustawi wa watoto wanaoishi katika mazingira magumu.

Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo kwa walezi na watoto kituoni hapo jana, Meneja wa Tawi la Absa Mkoa wa Morogoro, Godfrey Chilewa, alisema hatua hiyo ni muendelezo wa benki hiyo katika kurudisha fadhila kwa jamii inayowazunguka. Alisema kituo hicho ni miongoni mwa maeneo wanayoyafikia kwa lengo la kupunguza changamoto za malezi zinazowakabili watoto yatima na wenye mazingira magumu.

Chilewa alisema benki hiyo inatambua kazi kubwa inayofanywa na vituo vya kuhudumia watoto yatima nchini, na kwamba changamoto wanazopitia zinahitaji nguvu ya pamoja kutoka kwa watu binafsi, taasisi na makampuni ili kuhakikisha watoto hao wanapata huduma bora na makuzi salama.

Watoto yatima wana uhitaji sawa wa malezi kama watoto wengine wanaokua katika familia zao, watoto hawa nao wana story za maisha yao wangependa zitimie, sisi Absa tunasema ‘Stori yako ina thamani’, Stori za maisha ya watoto hawa zina thamani kwetu na tunaamini misaada kama hii inakwenda kuchangia kukamilika kwa stori zao."

Mara nyingi watoto wanaolelewa kwenye vituo wanakosa baadhi ya mahitaji ya msingi kutokana na uwezo mdogo wa vituo hivyo. Hivyo, ni jukumu letu kama jamii kusaidia kile tunachokipata ili watoto hawa wakue kama wengine,” alisema Chilewa.

Akiendelea kueleza, alisema jamii ina wajibu wa kusaidia kujenga kizazi chenye maarifa, uwezo wa kujitegemea na dira sahihi, huku akisisitiza kuwa watoto yatima mara nyingi hukosa huduma muhimu kama chakula, mavazi, elimu na afya. Aliongeza kuwa ndoto ya Absa ni kuona changamoto hizo zinapungua kupitia ushirikiano na wadau mbalimbali akiongeza kuwa hii inaenda sambamba na lengo la benki hiyo la ‘Kuiwezesha Afrika na Tanzania ya Kesho, Pamoja, hatua moja baada ya nyingi’.

Saidi Hamis (27), mmoja wa vijana waliokulia kituoni hapo, alisema kituo hicho kina jumla ya watoto 113, ambapo wavulana ni 66 na wasichana 47. Alieleza kuwa kituo kilianzishwa mwaka 2013 eneo la Mindu kabla ya kuhamia Lugono, na kwa sasa wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa uzio wa kuzunguka makazi yao.

Changamoto kubwa ni kukosa uzio, jambo ambalo linatuweka katika hatari ya kuvamiwa na wanyama wakali, ikiwemo tembo wanaotoroka Hifadhi ya Taifa ya Mikumi. Tunaiomba jamii kutusaidia kufanikisha ujenzi wa uzio ili watoto wawe salama,” alisema Saidi.

Kwa upande wake, Karomelo Kizilahabi (17), mmoja wa watoto wanaolelewa kituoni, alisema msaada walioupokea utawasaidia kwa kiasi kikubwa, hasa cherehani nne walizokabidhiwa ambazo zitawawezesha kujifunza ufundi wa kushona nguo.

Cherehani hizi zitatusaidia kupata ujuzi wa kushona nguo na kutujengea uwezo wa kujitegemea baadaye. Tunawashukuru kwa kutukumbuka na tunawaombea muendelee kuwa na moyo huu,” alisema Karomelo.
Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa (Katikati) na Ofisa wa kitengo cha mauzo wa benki hiyo, Bi. Grace Ndile wakikabidhi mfuko wa unga kwa Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre Lugono, Bw. Ramadhani Msombeli katika hafla ambayo benki hiyo ilikabidhi msaada wa mahitaji muhimu vikiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na cherehani, kituoni hapo, mkoani Morogoro, jana.
Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa (Katikati) na Meneja Masoko wa benki hiyo, Bw. Shauri Masengwa wakiwakabidhi vinywaji watoto, Karomelo Kizilahabi na Jamali Abdallah, katika hafla ambayo benki hiyo ilikabidhi msaada wa mahitaji muhimu vikiwemo vyakula, sabuni na cherehani, kwa kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre Lugono wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, jana.
Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa kushoto na baadhi wafanyakazi wenzake wa tawi hilo, wakiwa na baadhi ya watoto yatima wa Kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo Lugono wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, baada ya kukabidhi msaada wa mahitaji muhimu vikiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na cherehani, kituoni hapo jana.
Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa (Katikati), baadhi wafanyakazi wenzake na wasimamizi wa Kituo cha watoto yatima cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo Lugono wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wakipozi mbele ya wapiga picha, muda mfupi baada ya meneja huyo kukabidhi msaada wa mahitaji muhimu vikiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na cherehani, vilivyotolewa na benki hiyo, kituoni hapo jana.
Share:

Monday, December 1, 2025

BENKI YA ABSA YASHINDA TUZO YA ‘BENKI INAYOPENDEKEZWA NA KUFIKIWA ZAIDI MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA’

 

Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Irene Mwilongo (katikati), pamoja na baadhi ya wafanyakazi wenzake, wakionesha tuzo ya ‘Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika’ mara baada ya kukabidhiwa, katika hafla ya utoaji wa tuzo za Chaguo la Walaji Afrika 2025, jijini Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi wa Benki ya Absa Tanzania Bi. Irene Mwilongo (wa tatu kulia), akipokea tuzo ya ‘Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika' kutoka kwa Mwakilishi kutoka waandaaji wa tuzo hizo, Bi. Balqis Njuki, katika hafla ya kila mwaka ya utoaji wa Tuzo za Chaguo la Walaji Afrika 2025, jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo.
Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa Benki ya Absa Tanzani, Bw. Stivia Augustino (wa tatu kulia), akionesha tuzo ya ‘Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika’, katika hafla ya kila mwaka ya utoaji wa Tuzo za Chaguo la Walaji Africa 2025, jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo.
Mkuu wa Mikakati na Data wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. John Mosha (wa nne kulia), akizungumza baada ya kupokea tuzo ya ‘Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika’, katika hafla ya kila mwaka ya utoaji wa Tuzo za Chaguo la Walaji Africa 2025, jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo.
Share:

Wednesday, November 19, 2025

BENKI YA ABSA TANZANIA YATOA SHS MILIONI 18 KWA WASHINDI WA KAMPENI YA ‘UJANJA NI KUSWIPE NA KADI YA ABSA, IKITAMBULISHA UDHAMINI WA SAFARI YA MTEJA NA MWENZA WAKE KUSHUHUDIA TAMASHA MAARUFU DUNIANI LA ‘ABSA CHAMPAGNE AFRIKA’ NCHINI AFRIKA KUSINI.

  

Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ambayo benki hiyo ilikabidhi zawadi za fedha taslimu kwa washindi 18 wa kila wiki wa kampeni inayoendelea ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo, Absa ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na pia kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano, Bw. Aron Luhanga na Mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Bi. Judith Wililo.

BENKI ya Absa Tanzania imesema imefanya uwekezaji mkubwa katika huduma zake za kibenki kwa njia ya kidigitali, hususani zinazohusisha matumizi ya kadi ili kuhakikisha watanzania wengi zaidi wanafikiwa na huduma za kibenki huku ikiwezesha wateja wake kunufaika na huduma hizo zenye ubora na gharama nafuu imeelezwa.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika hafla ya kuwazawadia washindi wa kampeni yake inayoendelea ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu yenye lengo la kuhamasisha wateja kufanya miamala ya kibenki kwa kutumia kadi na huduma za kidigitali, Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa benki hiyo, Bi. Ndabu Swere alisema kampeni hiyo inaenda sambamba na lengo kuu la benki hiyo la ‘Kuiwezesha Afrika ya kesho, pamoja, hatua moja baada ya nyingine.

Sisi kama Absa ni jambo la kujivunia kwa sababu tumefanya uwekezaji mkubwa katika mifumo ya huduma zetu za kidigitali ili kuwafanya wateja wetu kufurahia kufanya miamala hii ambayo ni rahisi, uhakika na salama hivyo kuwafanya waweze kutimiza malengo yao huku wakiepukana na majanga ambayo yangeweza kuwapata kwa kutembea na fedha taslimu.'

Kama benki tunafanya haya kama sehemu ya kuwashukuru wateja wetu kwa kufanya miamala mingi kwetu, nasi tunahakikisha wateja wetu wanapata huduma bora zenye viwango vya hali ya juu na wanafanikiwa katika kila jambo”, alisema Bi. Ndabu.

Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa kila mmoja shs 500,000, huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18, ambapo Bi. Flora Awur alishinda shs milioni 3, Bi. Stella Kahwa, shs milioni 5 na Bw. Tony Mushi alijishindia shs milioni 10.

Sambamba na hilo Meneja wa Bidhaa za Kadi na Malipo wa benki hiyo, Bi. Erica Mwaipopo, alizungumzia promosheni ya matumizi ya Kadi ya malipo ‘Absa Infinite card’ inayopatikana kwa Shilingi za kitanzania ama Dola ya Kimarekani kama kadi ya kawaida (debit) ama mkopo (credit) iliyokuwa ikifanyika pamoja na Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’.

Kwa kutambua thamani ya wateja wetu wanaotumia kadi hii tulifanya promosheni ambayo mteja atakayefanya miamala mingi zaidi atajishindia safari yeye na mwenza wake kushuhudia tamasha maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini linalotarajiwa kufanyika mwezi huu na ninayo furaha kumtangaza Bw. Felician Hechei kama mshindi wa promosheni hii."

Infinite Credit Card ni kadi ya kifahari inayolenga kuhudumia wateja wa hadhi ya juu, kwa huduma za kifedha zilizoboreshwa, ni kadi iliyobuniwa kukidhi mahitaji ya wateja wanaotafuta ubora, usalama na upatikanaji wa huduma duniani kote”, alisema Bi. Erica.

Miongoni mwa faida zake ni bima ya safari za kimataifa, kupata huduma za chakula, vinywaji na mapumziko katika viwanja vya ndege zaidi ya 1,200, bei ya punguzo katika manunuzi, bima ya kufuta tiketi za safari, na udhamini wa bidhaa za muda mrefu.

Naye Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo, Bw. Aron Luhanga akizungumza mahali hapo alisema tukio hilo linadhihirisha kwa vitendo kauli mbiu ya benki hiyo isemayo ‘Stori yako ina Thamani’ hivyo kwa kuwazawadia washindi hao inaonesha ni jinsi gani Benki ya Absa Tanzania inavyothamini stori za mafanikio ya wateja wao.

Mmoja wa washindi wa wiki, Dk Heri Marwa alisema kutokana na kusafiri sana nje ya nchi, kadi ya Absa Infinite Credit Card imemsaidia sana kupata huduma zikiwemo manunuzi ndani ya ndege na katika viwanja vya mbalimbali vya ndege ambazo hapo awali alishindwa kuzipata wakati akitumia kadi za kawaida.

Kampeni ya miezi mitatu ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Benki ya Absa’ ilizinduliwa ilizinduliwa Septemba 30 mwaka huu ikiwa na washindi sita wa shs 500,000 kila wiki; mshindi wa shs milioni 3, shs milioni 5 na shs milioni 10 kila mwezi na mshindi mmoja wa mwisho wa shs milioni 10 ambapo benki hiyo imetenga jumla ya shs milioni 120 kama zawadi kwa washindi watakaopatikana katika kampeni yote.
Mmoja wa washindi wa kila wiki wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na kadi ya Absa’, Dk. Heri Marwa, akichezesha droo wakati wa mkutano na waandishi wa habari ambapo Benki ya Absa ilikabidhi zawadi za fedha taslimu kwa washindi 18 wa kila wiki wa kampeni inayoendelea jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo, Absa ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia tamasha maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na pia kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septembapo 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama Zawadi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano, Bw. Aron Luhanga, Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere na Mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Bi. Judith Wililo.
Meneja wa Bidhaa za Kadi na Malipo wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Erica Mwaipopo (kulia), akizungumza kuhusu kampeni ya matumizi ya Kadi ya malipo ya ‘Absa Infinite credit card’ ambayo mshindi na mwenza wake watapata udhamini kushuhudia Tamasha maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini linalotarajiwa kufanyika mwezi huu. Katika hafla hiyo pia, Absa ilikabidhi zawadi za fedha taslimu kwa washindi 18 wa kila wiki wa kampeni nyingine inayoendelea ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ na pia kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano, Bw. Aron Luhanga na Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere.
Mmoja wa washindi wa wiki, wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ Bw. Felician Hechei (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya malipo ya shs 500,000 kutoka kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere, huku Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo, Bw. Aron Luhanga akiangalia, jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa kila mmoja shs 500,000, huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18. Absa pia ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi.
Mmoja wa washindi wa wiki, wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ Dk. Heri Marwa (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya malipo ya shs 500,000 kutoka kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere, huku Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo, Bw. Aron Luhanga akiangalia, jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa kila mmoja shs 500,000 huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18. Absa pia ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi.
Mmoja wa washindi wa wiki, wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ Bw. Bhavik Lwada (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya malipo ya shs 500,000 kutoka kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere, huku Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo, Bw. Aron Luhanga akiangalia, jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa kila mmoja shs 500,000, huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18. Absa pia ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi.
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Beda Biswalo (kulia), akizungumza kwa simu, jijini Dar es Salaam jana, na baadhi ya washindi wa mwezi wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ ambapo wateja wa benki hiyo, Bi. Flora Awur alishinda shs milioni 3, Bi. Stella Kahwa, shs milioni 5 na Bw. Tony Mushi alijishindia shs milioni 10. Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa shs 500,000 kila mmoja. Absa pia ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini. Kampeni hiyo ya miezi mitatu ilizinduliwa Septemba 30 mwaka huu huku kiasi cha shs milioni 120 zikitengwa kama zawadi. Katika picha kutoka kushoto ni; Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano, Bw. Aron Luhanga, Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere na Mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Bi. Judith Wililo.
Baadhi ya washindi wa wiki wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ wakipozi mbele ya wapigapicha pamoja na baadhi ya viongozi na wafanyakazi wa Benki ya Absa Tanzania, mara baada ya mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Washindi 18 wa kila wiki walikabidhiwa zawadi za pesa taslimu kila mmoja kiasi cha shs 500,000, huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18.
Share:

Friday, October 24, 2025

Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati akitangaza mafanikio ya ushirikiano wa kibiashara kati ya benki hiyo na taasisi inayotoa huduma za kifedha ya ASA Microfinance kwa kipindi cha miaka minne. Kupitia ushirikiano huo, Benki ya Absa imeikopesha ASA kiasi cha shs billioni 40 zilizoiwezesha taasisi hiyo kutoa mikopo kwa wanawake wajasiriamali zaidi ya 50,000 kutoka sehemu mbalimbali nchini Tanzania. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Huduma za Jamii na Matukio wa Benki ya Absa, Bi. Abigail Lukuvi, Mkurugenzi wa wateja wa Makampuni wa Absa, Nellyana Mmanyi, Ofisa Mtendaji Mkuu wa ASA Microfinance Tanzania, Bw. Muhammad Shah Newaj na Meneja Mahusiano ya Jamii na Utawala wa ASA, Bi. Veneranda Francis.

Benki ya Absa Tanzania, kwa ushirikiano na taasisi inayotoa huduma za kifedha ya ASA Microfinance, inajivunia kuadhimisha mwaka wa nne wa ushirikiano wa kipekee ambao umewezesha zaidi ya wanawake wajasiriamali 50,000 nchini Tanzania kupata mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 40 za Kitanzania.

Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2022, ushirikiano huu wa muda mrefu umeenda zaidi ya kutoa mikopo pekee, kila mwanamke mjasiriamali aliyewezeshwa si tu anabadilisha maisha yake binafsi, bali pia anagusa maisha ya familia yake, wafanyakazi, wasambazaji, na jamii pana inayomzunguka. Utafiti wa maendeleo unaonyesha kwamba kumwezesha mjasiriamali mmoja mwanamke nchini Tanzania kunaweza kuinua maisha ya watu 15 hadi 20 walioko karibu naye, hii inamaanisha kwamba ushirikiano kati ya Benki ya Absa na ASA Microfinance umegusa maisha ya karibu watanzania milioni moja, ukiimarisha familia na kuchochea ukuaji jumuishi wa kiuchumi.

Akizungumza kuhusu mafanikio haya jijini Dar es Salaam leo katika mkutano na waandishi wa habari, Obedi Laiser, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, alisema: “Taasisi nyingi huzingatia uwezeshaji wa wanawake kama mradi wa muda mfupi, kwa Absa, hili ni jukumu lenye kusukumwa na dhamira ya kweli. Kwa kuwawezesha zaidi ya wanawake 50,000 kupata mitaji na kukuza biashara zao, tunaona athari chanya zinazopanuka, zinazobadilisha familia, kuelimisha watoto, kuunda ajira, na kujenga ustahimilivu katika jamii. Hivi ndivyo tunavyoishi kauli mbiu yetu ya Kuiwezesha Afrika ya kesho, pamoja… hatua moja baada ya nyingine, kwa sababu kwetu Absa, Stori yako ina thamani.

Kwa upande wake, Muhammad Shah Newaj, Ofisa Mtendaji kuu wa ASA Microfinance Tanzania, aliongeza:

Ushirikiano wetu na Benki ya Absa Tanzania umeleta mageuzi makubwa. Kupitia msaada wa Absa, ASA imeweza kupanua huduma za mikopo midogo kwa maelfu ya wanawake wajasiriamali ambao wangeachwa nje ya mfumo rasmi wa kifedha. Pamoja, hatufadhili biashara pekee , tunafadhili heshima, matumaini, na fursa zinazoinua vizazi.

Katika kipindi cha miaka minne iliyopita, ushirikiano huu umeunganisha utoaji wa mitaji na mafunzo ya elimu ya kifedha, kuhakikisha kwamba wanawake wajasiriamali hawapati mikopo tu bali pia maarifa ya kuiendesha kwa uendelevu. Mapema mwezi huu, wanawake 50 kutoka Dar es Salaam walishiriki katika programu ya elimu ya kifedha iliyojumuisha mada za upangaji bajetiakibauwekezaji, na utunzaji wa kumbukumbu, hatua muhimu katika kubadilisha mikopo kuwa uwezeshaji endelevu wa kiuchumi.

Mpango huu unaonyesha mkakati wa Uwajibikaji wa Kijamii wa Absa, unaolenga ujumuishaji wa kifedha, ujasiriamali, na maendeleo endelevu. Pia unaendana na ajenda ya kitaifa ya ujumuishaji wa kifedha nchini Tanzania kwa kupanua huduma za mikopo na elimu kwa makundi yasiyohudumiwa ipasavyo, hivyo kuleta mabadiliko ya kudumu ya ustahimilivu wa kiuchumi.

Kupitia ushirikiano huu endelevu, Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance zinaendelea kuandika simulizi za mabadiliko , simulizi ambazo mwanamke mmoja aliyewezeshwa hubadilisha si maisha yake tu, bali pia maisha ya wengi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (wa tatu kushoto), akikabidhi tuzo kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi inayotoa huduma za kifedha ya ASA Microfinance Tanzania, Bw. Muhammad Shah Newaj, kwa kutambua mchango wa taasisi hiyo, katika kuwawezesha wanawake wajasiriamali nchini, kwa kupitia masuluhisho mbalimbali ya kifedha. Ilikuwa ni katika hafla ambayo Absa ilitangaza mafanikio ya ushirikiano wa kibiashara kati ya benki na taasisi hiyo kwa kipindi cha miaka minne. Kupitia ushirikiano huo, Benki ya Absa imeikopesha ASA kiasi cha shs billioni 40 zilizoiwezesha taasisi hiyo kutoa mikopo kwa wanawake wajasiriamali zaidi ya 50,000 kutoka sehemu mbalimbali nchini Tanzania. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Huduma za Jamii na Matukio wa Benki ya Absa, Bi. Abigail Lukuvi, Mkurugenzi wa wateja wa Makampuni wa Absa, Bi. Nellyana Mmanyi, na Meneja Mahusiano ya Jamii na Utawala wa ASA Microfinance, Bi. Veneranda Francis.
Meneja Huduma za Jamii na Matukio wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Abigal Lukuvi (kushoto), akizungumza katika hafla ambayo, Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Bw. Obedi Laiser (wa tatu kushoto), akitangaza mafanikio ya ushirikiano wa kibiashara kati ya benki hiyo na taasisi inayotoa huduma za kifedha ya ASA Microfinance kwa kipindi cha miaka minne. Kupitia ushirikiano huo, Benki ya Absa imeikopesha ASA kiasi cha shs billioni 40 zilizoiwezesha taasisi hiyo kutoa mikopo kwa wanawake wajasiriamali zaidi ya 50,000 kutoka sehemu mbalimbali nchini Tanzania. Wengine kutoka kushoto kwake ni, Mkurugenzi wa wateja wa Makampuni, Bi. Nellyana Mmanyi, Ofisa Mtendaji Mkuu wa ASA Microfinance Tanzania, Bw. Muhammad Shah na Meneja Mahusiano ya Jamii na Utawala wa ASA, Bi. Veneranda Francis.
Share:

Saturday, October 18, 2025

BENKI YA ABSA TANZANIA YAZINDUA KLABU YA MATEMBEZI NA MBIO FUPI IKIHAMASISHA UMUHIMU WA MAZOEZI KWA AFYA YA MWILI NA AKILI

Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Melvin Saprapasen (katikati) na Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha wa Absa Tanzania, Bi.Irene Rwegalulira (kushoto) wakizindua rasmi Klabu ya matembezi na mbio fupi ya benki hiyo itakayoshirikisha wafanyakazi wa kitengo hicho na wateja wao. Hafla hii ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Klabu hiyo itaendesha matembezi hayo mara mbili kwa mwezi ikiwa na malengo ya kuimarisha mahusiano kati ya benki na wateja na pia kuhamasisha umuhimu wa mazoezi ya mwili kwa ustawi wa afya ya mwili na akili.
Meneja Huduma za Jamii na Matukio wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Abigail Lukuvi (kulia) akiwatangulia baadhi ya wafanyakazi na wateja wa kitengo cha biashar, wakati wa uzinduzi rasmi wa Klabu ya matembezi na mbio fupi ya benki hiyo itakayoshirikisha wafanyakazi wa kitengo hicho na wateja. Hafla hii ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Klabu hiyo itaendesha matembezi hayo mara mbili kwa mwezi ikiwa na malengo ya kuimarisha mahusiano kati ya benki na wateja na pia kuhamasisha umuhimu wa mazoezi ya mwili kwa ustawi wa afya ya mwili na akili.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Absa Tanzania kitengo cha biashara pamoja na wateja wao, wakishiriki matembezi na mbio fupi jijini Dar es Salaam leo katika hafla ya uzinduzi rasmi wa Klabu ya matembezi na mbio fupi ya benki hiyo itakayoshirikisha wafanyakazi wa kitengo hicho na wateja. Klabu hiyo itaendesha matembezi hayo mara mbili kwa mwezi ikiwa na malengo ya kuimarisha mahusiano kati ya benki na wateja na pia kuhamasisha umuhimu wa mazoezi ya mwili kwa ustawi wa afya ya mwili na akili.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Absa Tanzania kitengo cha biashara pamoja na wateja, wakipiga picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi rasmi wa Klabu ya matembezi na mbio fupi ya benki hiyo itakayoshirikisha wafanyakazi wa kitengo hicho na wateja. Klabu hiyo itaendesha matembezi hayo mara mbili kwa mwezi ikiwa na malengo ya kuimarisha mahusiano kati ya benki na wateja na pia kuhamasisha umuhimu wa mazoezi ya mwili kwa ustawi wa afya ya mwili na akili.
Share:

Tuesday, October 14, 2025

Absa Tanzania Celebrates Innovation and Inclusion at GirlCode Hackathon 2025

Absa Bank Tanzania Director of Technology, Mr. Emanuel Mwinuka (fourth from left), speaks with participants of the program titled “Absa GirlCode Hackathon 2025,” in which female university students were required to develop digital codes that provide solutions to support the banking sector and other industries. The event took place in Dar es Salaam over the weekend.

Absa Bank Tanzania has reaffirmed its commitment to empowering women in technology with the successful conclusion of the GirlCode Hackathon 2025, a high-energy, 36-hour innovation challenge that brought together young women coders, developers, and entrepreneurs from across the country.

The event, held in partnership with the Women in Tech Centre and Girl Code Africa, provided a platform for participants to develop digital solutions addressing real-world challenges in Fintech, Artificial Intelligence, and Cybersecurity.

In her closing address in Dar es Salaam over the weekend, the Director of Human Resources at Absa Bank Tanzania, Mr Patrick Foya commended the participants for their creativity, determination, and problem-solving spirit.

Your solutions stood out not only for their technical excellence but also for their potential to make a real difference, you’ve tackled complex challenges with boldness and brilliance, you’ve proven that innovation knows no gender, and that the future of technology is brighter because of you”, he said.

The HR Director also emphasized that the hackathon was more than a competition-it was a platform for learning, growth, and transformation where participants collaborated to design solutions ranging from ecosystem banking platforms to AI-powered optimization engines, demonstrating that young Tanzanian women are ready to lead the next wave of technological innovation.

When women are given the opportunity, they don’t just participate, they lead,” he added. “The next generation of tech leaders is already here.

Highlighting Absa’s role in nurturing female talent, the Director reiterated the bank’s commitment to creating inclusive pathways for women in technology in line with Absa’s purpose of Empowering Africa’s Tomorrow, Together, One Story at a Time, under the brand message “Your Story Matters.”.

Events like this are not just about coding, they’re about creating pipelines,” he said. “We are identifying talent, nurturing potential, and opening doors, Absa Bank Tanzania is committed to ensuring that young women who participated here today have access to opportunities such as internships, mentorships, and future employment.

Addressing those who did not win awards, the HR Director offered a message of encouragement; “Every great technologist has faced setbacks,” he reminded them. “What matters is how you respond, take what you’ve learned here and keep building, keep dreaming, and keep pushing boundaries.

One of the participants in the challenge, Mariam Saidi Mohammed, a computer software developer, expressed her gratitude to Absa Bank together with the GirlCode Hackathon for organizing the event, saying that it had helped her build confidence in finding solutions to various challenges through technology.

I would like to encourage all women with ideas not to be afraid, come forward, you can solve many problems through technology,” said Ms. Mariam.

Speaking at the event, the Bank’s Director of Technology, Mr. Emanuel Mwinuka, said that the Absa GirlCode Hackathon will help address the gender imbalance among computer systems professionals in the country, which has been a major challenge in many workplaces.

This challenge is not only in banks but also in other industries. That is why we at Absa decided to encourage young women from universities and workplaces to take advantage of opportunities in the world of technology and also provide solutions through technology."

Today’s event has been very successful, we have had three winners, since this event is also taking place in other countries, the first-place winner will have the opportunity to compete with winners from other nations through their solutions, and the best solution will receive another award,” said Mr. Mwinuka.

The Girl Code Hackathon 2025 was concluded with award presentations, networking sessions, and a shared commitment to sustaining the momentum of empowering women in the tech ecosystem.
The Director of Human Resources at Absa Bank Tanzania, Mr. Patrick Foya (second from right), presents a certificate to the first-place winners, the Tokiva Sisters team, during the “Absa GirlCode Hackathon 2025” program, where female university students were required to create digital codes offering solutions beneficial to the banking sector and other industries. The event was held in Dar es Salaam over the weekend. From right: Absa Bank’s Director of Operations, Mr. Oscar Mwamfwagasi, and Director of Technology, Mr. Emanuel Mwinuka.
The Director of Operations at Absa Bank Tanzania, Mr. Oscar Mwamfwagasi (right), presents a certificate to the third-place winners, the Tech Divas team, during the “Absa GirlCode Hackathon 2025” program, where female university students were required to design digital codes offering solutions to support the banking sector and other industries. The event was held in Dar es Salaam over the weekend.
Absa Bank Tanzania Citizenship and Events Manager, Abigail Lukuvi (centre), speaks with some of the participants of the “Absa GirlCode Hackathon 2025” program, where female university students were required to create digital codes that provide solutions to benefit the banking sector and the broader community. The event took place in Dar es Salaam over the weekend.
Share:

Monday, October 13, 2025

TANZANIA KUSHINDANA VIPENGELE 20 TUZO ZA UTALII DUNIANI

Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini  Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa kampeni ya upigaji kura wa tuzo  za kimataifa zinazotambua na kuthamini ubora, ubunifu na huduma bora katika sekta ya utalii na usafiri duniani. Wengine pichani kutoka (kushoto), ni Meneja Mawasiliano wa Bodi hiyo Paulina Mkama pamoja na Meneja Masoko wa Vivian Temi,


‎Meneja Mawasiliano wa Bodi yaUtaliiTanzania(TTB), hiyo Paulina Mkama (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini  Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa kampeni ya upigaji kura wa tuzo  za kimataifa zinazotambua na kuthamini ubora, ubunifu na huduma bora katika sekta ya utalii na usafiri duniani. (Katikati), ni Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru pamoja na Meneja Masoko wa wa bodi hiyo  Vivian Temi

.com/img/a/

Na Mwandishi Wetu 

Tanzania imeingia kwenye kinyang’anyiro cha  Tuzo za Dunia za Utalii ( World Travel Award 2025) baada ya kuteuliwa kushiriki katika vipengele 20  vyenye  wagombea 24 vikiwemo taasisi na wadau mbalimbali wa sekta ya utalii.


Akizungumza Oktoba 13, 2025 jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa kampeni ya upigaji kura, Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amesema  hatua hiyo ni ya kihistoria kwani inaonyesha jinsi Tanzania inavyozidi kutambulika kimataifa.


“Kwa kawaida Tanzania imekuwa ikishinda katika tuzo za ngazi ya Afrika , lakini mwaka huu tumeingia katika mashindano ya dunia, mwaka  jana tulichaguliwa kama nchi bora kwa safari za utalii, jambo ambalo limeendelea kuitangaza nchi yetu zaidi,” amesema  Mafuru.


Ameeleza kuwa  World Travel Award( WTA) ni tuzo za kimataifa zinazotambua na kuthamini ubora, ubunifu na huduma bora katika sekta ya utalii na usafiri duniani.


“Tuzo hizi zilianzishwa mwaka 1993, na kwa sasa zinajulikana kama, Oscars za sekta za Utalii , kutokana na heshima na ushawishi wake katika kuonyesha viwango vya juu vya ubora duniani,” amefafanua  Mafuru.


Mafuru amesema  lengo la tuzo hizo ni kutambua na kuhamasisha ubora katika nyanja zote za utalii, ikiwemo mashirika ya ndege, hifadhi za taifa, hoteli, miji ya kitalii, kampuni za usafiri na taasisi za utalii za kitaifa kama TTB.


Amewahamasisha watanzania wote kujitokeza kupiga kura kupitia simu zao na mitandao ya kijamii katika kampeni iliyoanza  oktoba 6 hadi  oktoba 16,2025 , ili Tanzania iweze kushinda katika vipengele mbalimbali ikiwemo Nchi bora ya Utalii, Bodi Bora ya Utalii, Hifadhi Bora, Kivutio Bora na Uwanja bora wa ndege.


“Ushindi katika tuzo hizi utaongeza hadhi ya Tanzania katika sekta ya utalii duniani, kuongeza idadi ya watalii na kuimarisha juhudi za kulinda rasilimali na urithi wa taifa,” amesema .


Aidha, Mafuru amesisitiza  kuwa mafanikio yanayoonekana sasa ni matokeo ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ambaye amekuwa kinara katika kutangaza vivutio vya utalii kupitia ziara na filamu ya Royal Tour pamoja na hotuba zake

Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive